Zipi fani zinazotolewa na veta kwa sasa ni nzuri kwa mabinti

Zipi fani zinazotolewa na veta kwa sasa ni nzuri kwa mabinti

mwanyaluke

JF-Expert Member
Joined
Jan 22, 2015
Posts
704
Reaction score
2,435
Fani zipi za ufundi nzuri kwa watoto wetu wa kike , Nina mtoto wa mama yangu mdogo kaja kwangu nataka kumpeleka course za ufundi maana ndio naona Kuna ajira nyingi, kumrudisha shule na kufanya arudie mitihani naona haitamsaidia sana au kumpeleka vyuo vya NACTE naona ni wastage of time and money, biashara naona Hana discipline kabisa ya pesa, kuoelewa bado hana mvuto
 
fani zipi za ufundi nzuri kwa watoto wetu wa kike , Nina mtoto wa mama yangu mdogo kaja kwangu nataka kumpeleka course za ufundi maana ndio naona Kuna ajira nyingi, kumrudisha shule na kufanya arudie mitihani naona haitamsaidia sana au kumpeleka vyuo vya nacte naona ni wastage of time and money , biashara naona Hana discipline kabisa ya pesa ,kuoelewa bado Hana mvuto
Secretarial course.
 
fani zipi za ufundi nzuri kwa watoto wetu wa kike , Nina mtoto wa mama yangu mdogo kaja kwangu nataka kumpeleka course za ufundi maana ndio naona Kuna ajira nyingi, kumrudisha shule na kufanya arudie mitihani naona haitamsaidia sana au kumpeleka vyuo vya nacte naona ni wastage of time and money , biashara naona Hana discipline kabisa ya pesa ,kuoelewa bado Hana mvuto
Graphic design
 
fani zipi za ufundi nzuri kwa watoto wetu wa kike , Nina mtoto wa mama yangu mdogo kaja kwangu nataka kumpeleka course za ufundi maana ndio naona Kuna ajira nyingi, kumrudisha shule na kufanya arudie mitihani naona haitamsaidia sana au kumpeleka vyuo vya nacte naona ni wastage of time and money , biashara naona Hana discipline kabisa ya pesa ,kuoelewa bado Hana mvuto
Kozi nzuri kwa mie naona Ac and friji na umeme wa magari naona kwa mtoto wa kike ni nzuri kwao
 
fani zipi za ufundi nzuri kwa watoto wetu wa kike , Nina mtoto wa mama yangu mdogo kaja kwangu nataka kumpeleka course za ufundi maana ndio naona Kuna ajira nyingi, kumrudisha shule na kufanya arudie mitihani naona haitamsaidia sana au kumpeleka vyuo vya nacte naona ni wastage of time and money , biashara naona Hana discipline kabisa ya pesa ,kuoelewa bado Hana mvuto
Upambaji, ushonaji, mapishi ya vyakula mbalimbali, ufundi, nk.
 
Fani zipi za ufundi nzuri kwa watoto wetu wa kike , Nina mtoto wa mama yangu mdogo kaja kwangu nataka kumpeleka course za ufundi maana ndio naona Kuna ajira nyingi, kumrudisha shule na kufanya arudie mitihani naona haitamsaidia sana au kumpeleka vyuo vya NACTE naona ni wastage of time and money, biashara naona Hana discipline kabisa ya pesa, kuoelewa bado hana mvuto
Fundi Bomba na vile ni wa kike atapata Dili Nyingi!
 
Fani zipi za ufundi nzuri kwa watoto wetu wa kike , Nina mtoto wa mama yangu mdogo kaja kwangu nataka kumpeleka course za ufundi maana ndio naona Kuna ajira nyingi, kumrudisha shule na kufanya arudie mitihani naona haitamsaidia sana au kumpeleka vyuo vya NACTE naona ni wastage of time and money, biashara naona Hana discipline kabisa ya pesa, kuoelewa bado hana mvuto
Akasomee tailoring
 
Back
Top Bottom