Wakuu habari za mchana?
Natumaini mko sawa na mishe kama kawa zinasogea.
Nimebahatika kupata mwanamke mzuri ambae mpaka ninapoandika uzi huu ni mjamzito na mungu akijaalia mwezi ujao tunatarajia kupata mtoto.
Kulingana na hali ya uchumi nimeona ni vyema kujiandaa financially mapema atleast nijue ni kiasi gani kinaweza kutosha kulipa gharama katika hospitali za Serikali?
Wenye uzoefu naomba msaada na mawazo katika jambo hili.Asanteni
Natumaini mko sawa na mishe kama kawa zinasogea.
Nimebahatika kupata mwanamke mzuri ambae mpaka ninapoandika uzi huu ni mjamzito na mungu akijaalia mwezi ujao tunatarajia kupata mtoto.
Kulingana na hali ya uchumi nimeona ni vyema kujiandaa financially mapema atleast nijue ni kiasi gani kinaweza kutosha kulipa gharama katika hospitali za Serikali?
Wenye uzoefu naomba msaada na mawazo katika jambo hili.Asanteni