Zipi ni athari za kutengeneza juice na kuhifadhi kwenye freezer?

Zipi ni athari za kutengeneza juice na kuhifadhi kwenye freezer?

Meljons

JF-Expert Member
Joined
Jun 25, 2012
Posts
3,105
Reaction score
1,406
Habari wana jf!

Naomba kama kuna anayefaham madhara ya kuhifadhi juice kwenye freezer, maana nina mazoea ya kutengeneza juice then naweka kwenye freezer natumia hata siku tatu.

Ila leo jirani yangu kaniambia hiyo juice inakuwa haina tena kazi, japo hajui inakuwaje kwani naye alisikia tu kwa watu.
 
Mi pia napenda nijue kuhusu hili, kuna mtu aliniambia juice ya karoti haitakiwi kulala eti ikilala hata kama ni siku moja inakuwa sumu, ni kweli jamani?
Habari wana jf!

Naomba kama kuna anayefaham madhara ya kuhifadhi juice kwenye
freezer,maana nina mazoea ya kutengeneza juice then naweka kwenye
freezer natumia hata siku tatu.ila leo jirani yangu kaniambia hiyo juice
inakuwa haina tena kazi ,japo hajui inakuwaje kwani naye alisikia tu
kwa watu.
 
Yaani hata sielewi pia maana siku hz nimekata tamaa kuweka kiporo cha juice, hawa wataalam cjui wako wapi watusaidie
 
Mi pia napenda nijue kuhusu hili, kuna mtu aliniambia juice ya karoti haitakiwi kulala eti ikilala hata kama ni siku moja inakuwa sumu, ni kweli jamani?

ram

Fanya utafiti. Jaribu kutengeneza hiyo juice ya karoti na iweke kiporo. Baada ya siku moja au mbili kupita unywe juice yako. Utagundua jamaa aliyekwambia usiweke kiporo cha juice alikuwa hapendi ufaidi "utamu",

Kama chakula kingine chochote kinapooza au kuharibika hasa katokana na joto, huenda juice nayo ikabadilika ladha na hata rangi ikiwa imeharibika. Si vizuri kula chakula kilichoharibika,utaumwa na tumbo na kuhara kama bata.

ram,
Hujawahi kuona au kununua juice za matunda ,mfano juice ya nyanya na juice ya karoti katika chupa au boksi za tertapak? Zinahifadhiwa kwa mwezi,miezi au mwaka mzima na maelezo yanasomeka ukiifungua uitumie katika siku mbili au tano na uihifadhi katika baridi (fridge) sio kuigandisha (freezer).

 
Ni kweli kabisa uliyosema hapo juu, lakini mimi swali langu sio kulaza juice siku tatu na kuendelea, swali langu nimetengeneza juice leo jioni, ikatumika ikabaki, nikaiweka kwenye friji kesho nikiinywa tayari itakuwa ni sumu?
 
inategemea na aina ya matunda uliyotengenezea juice mpendwa, kama matunda kama matango, tikiti ndizi n.k ukitengeneza juice uliyochanganya na matunda hayo ikilala inakua na ladha mbaya na harufu tofauti, but kwa uzoefu wangu, mimi pia hutengeneza juice na kuiweka kwenye freezer kwa siku tatu na sijawah pata madhara yeyote, sema inaweza kupoteza ladha tu kidogo, But mimi nikishatengeneza juice huwa naichemsha au natengenezea maji yaliyochemka kabisaa ya moto yaani, kwa kufanya hivi huifanya juice kutokuharibika wala kupoteza ladha. Mfano mzuri, wengi wanaotengeneza juice za biashara hadi lita 50 na zaidi hufanya hivyo ili kuepuka hasara. BUT nimeuliza wataalam wananiambia madhara ya kuweka juice kwenye freezer hakuna kiafya,.Enjoy ur budgeting...🙂
 
Thank u so much maana hili limenisumbua sana kichwani, haswa nilikuwa na mazoea ya kutengeneza juice nyingi na kuweka kwenye freezer hususan kwa swala la budget,ngoja nirudie tena style yangu. Ila pia kweli ukifikiria enzyme ndio wanaweza kuharibu chochote kile under a favourite temperature ila kwa joto la freezer hawawezi pale kuharibu kitu.
inategemea na aina ya matunda uliyotengenezea juice mpendwa, kama matunda kama matango, tikiti ndizi n.k ukitengeneza juice uliyochanganya na matunda hayo ikilala inakua na ladha mbaya na harufu tofauti, but kwa uzoefu wangu, mimi pia hutengeneza juice na kuiweka kwenye freezer kwa siku tatu na sijawah pata madhara yeyote, sema inaweza kupoteza ladha tu kidogo, But mimi nikishatengeneza juice huwa naichemsha au natengenezea maji yaliyochemka kabisaa ya moto yaani, kwa kufanya hivi huifanya juice kutokuharibika wala kupoteza ladha. Mfano mzuri, wengi wanaotengeneza juice za biashara hadi lita 50 na zaidi hufanya hivyo ili kuepuka hasara. BUT nimeuliza wataalam wananiambia madhara ya kuweka juice kwenye freezer hakuna kiafya,.Enjoy ur budgeting...🙂
 
Back
Top Bottom