Zipi ni hospitali sahihi kwa shughuli ya kutairi hapa Dar?

F2S

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2008
Posts
216
Reaction score
44
Habari zenu wana wa JF,

Nahitaji kujua ni hosipitali gani sahihi kwa huduma ya kutahiri hapa Dar.

Nahitaji mwanangu apate huduma hii nikiwa na imani kwamba watoa huduma sio makanjanja.

Natanguliza Shukrani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…