Zipi ni shule nzuri za wasichana zenye kombi ya PCB?

Zipi ni shule nzuri za wasichana zenye kombi ya PCB?

Shilewashile

Senior Member
Joined
Dec 2, 2014
Posts
121
Reaction score
48
Wana JF naomba msaada wa kujua Shule zipi ni nzuri kwa wasichana wanaochukia PCB kidato Tano, iwe ya Goverment na private.
 
St. Mary Goret Kilimanjaro
Marian Girls
St. Marys Mazinde juu Tanga
St. Marys Kifungilo Tanga
Rosmin Tanga


Ni hizo ninazozifahamu.....Na zote hizo zinamilikiwa na Kanisa Katoliki...
 
mkuu nimesema Shule ya wasichana naona hujasoma vizuri. Pia natafuta tuition nzuri ya PCB
mkuu wewe ndo mwanafunzi?maana mwenyewe niko likizo hapa nahitaji mwanafunzi wa table teaching .....uko tayari nipm
 
St. Mary Goret Kilimanjaro
Marian Girls
St. Marys Mazinde juu Tanga
St. Marys Kifungilo Tanga
Rosmin Tanga


Ni hizo ninazozifahamu.....Na zote hizo zinamilikiwa na Kanisa Katoliki...

Kıfungilo haimilikiwi na Kanisa Katoliki.Pıa mtoa mada aelewe kuwa kwenda shule hz sio tu uwe na credit 3 bali uwe na mabanda ya uhakıka na ufaulu usailı.Usipofaulu usaıli wao hata mwanao awe na GPA Ya 5.00.
 
Kıfungilo haimilikiwi na Kanisa Katoliki.Pıa mtoa mada aelewe kuwa kwenda shule hz sio tu uwe na credit 3 bali uwe na mabanda ya uhakıka na ufaulu usailı.Usipofaulu usaıli wao hata mwanao awe na GPA Ya 5.00.

Aliyekudanganya ni nani....??? Kifungilo inamilikiwa na Masister wa Precious Blood ambayo pia ni wamili wa Mazinde Juu na PreciouscBloid Arusha....Pamoja na Precious Blood zote za Kenya....

Vipi wewe...Usiwe unashupaa kama hujui kitu...Ingia kwenye website yao ujionee
 
Aliyekudanganya ni nani....??? Kifungilo inamilikiwa na Masister wa Precious Blood ambayo pia ni wamili wa Mazinde Juu na PreciouscBloid Arusha....Pamoja na Precious Blood zote za Kenya....

Vipi wewe...Usiwe unashupaa kama hujui kitu...Ingia kwenye website yao ujionee

Ha ha ha, anadanganya afu yupo aroundAbout ya uhuru.
 
Tabora boyz na ilboru nahc ndio bora kwa sasa kwa upande wa pcb.....au kibaha pia iko vizuri kwa wasichana....!!!!!!!
 
Back
Top Bottom