jamani mambo vipi?naomba mniorodheshee sifa na vigezo vya kujiunga na pond boys(pugu)EGM.maana nina II-18,Geog-B,B/Maths-B+ So sijajua kama ntapostiwa pugu au laa! ila ilikuwa the first in sel-form.nisaidieni!
Ha ha ha mara aulize vigezo vya kupewa mkopo akisoma mathematics
kumbe ndo kwanza kamaliza form four
kishajipangia combi kishajipangia ataenda pugu duuuh