Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
chukua loss report na 70000 nenda TRA iliyokaribu naweHabari wanajamvi.
Nilikuwa nauliza utaratibu ukoje pamoja na gharama za Kulipia, Viambatana vya kuambatanisha, Ikiwa Una leseni ya udereva ambayo ukomo wake ni 2027 na imepotea.
Kwenye hio 70,000 akitaka mambo chapu chapu afunikie na 30,000 kwa juu halafu amwambie naitaka leseni leo leo, chapu kwa haraka anaipata leseni yake -corrupt Country lazima uishi hivyo bila hivyo lazima apigwe nenda rudi km anafuatilia namba Nidachukua loss report na 70000 nenda TRA iliyokaribu nawe
haina haja ya rushwa ma TRA wanampa control number anaenda kulipa bank au kwa simuKwenye hio 70,000 akitaka mambo chapu chapu afunikie na 30,000 kwa juu halafu amwambie naitaka leseni leo leo, chapu kwa haraka anaipata leseni yake -corrupt Country lazima uishi hivyo bila hivyo lazima apigwe nenda rudi km anafuatilia namba Nida
Bàada ya hapo anasubiri muda gani?haina haja ya rushwa ma TRA wanampa control number anaenda kulipa bank au kwa simu
Bàada ya hapo anasubiri muda gani?
Asante kwa swali. Unachotakiwa ni kuwa na ripoti ( loss report) na utapewa control number ukalipie kiasi cha shilingi za kitanzania 70,000/= . Baada ya malipo kufanyika haizidi siku 3 za kazi kupatata. Mwisho tunawaomba sana wadau wetu na walipakodi kutokubali kutoa pesa ili upate huduma kwani huduma zetu ni bure,Habari wanajamvi.
Nilikuwa nauliza utaratibu ukoje pamoja na gharama za Kulipia, Viambatana vya kuambatanisha, Ikiwa Una leseni ya udereva ambayo ukomo wake ni 2027 na imepotea.
Na ikitokea siku 3 hizo zikapita akaenda hakupata leseni achukue hatua gani nyingine?Asante kwa swali. Unachotakiwa ni kuwa na ripoti ( loss report) na utapewa control number ukalipie kiasi cha shilingi za kitanzania 70,000/= . Baada ya malipo kufanyika haizidi siku 3 za kazi kupatata. Mwisho tunawaomba sana wadau wetu na walipakodi kutokubali kutoa pesa ili upate huduma kwani huduma zetu ni bure,
Wasiliana nasi kwa namba za bure kwa kupigaNa ikitokea siku 3 hizo zikapita akaenda hakupata leseni achukue hatua gani nyingine?
TRA New Vision inawezekana Lakini Maana ya Mungu mengi Na mi Nauliza Leseni yangu ya udereva imeisha toka 2016 naendesha kiujanja ujanja kwa sasa je utaratibu gani napaswa kuufuata na kuna wakati TIN Number zilibadilishwa mi sikwenda kubadili je nafanyaje?Asante kwa swali. Unachotakiwa ni kuwa na ripoti ( loss report) na utapewa control number ukalipie kiasi cha shilingi za kitanzania 70,000/= . Baada ya malipo kufanyika haizidi siku 3 za kazi kupatata. Mwisho tunawaomba sana wadau wetu na walipakodi kutokubali kutoa pesa ili upate huduma kwani huduma zetu ni bure,
Unachoandika ni kweli lakini jamii kubwà inàjua ninyi ni wala rushwa wote na hamfanyi kazi bila rushwa.Asante kwa swali. Unachotakiwa ni kuwa na ripoti ( loss report) na utapewa control number ukalipie kiasi cha shilingi za kitanzania 70,000/= . Baada ya malipo kufanyika haizidi siku 3 za kazi kupatata. Mwisho tunawaomba sana wadau wetu na walipakodi kutokubali kutoa pesa ili upate huduma kwani huduma zetu ni bure,
NASUBIRI JIBU LA SWALI HILI PIA.TRA New Vision inawezekana Lakini Maana ya Mungu mengi Na mi Nauliza Leseni yangu ya udereva imeisha toka 2016 naendesha kiujanja ujanja kwa sasa je utaratibu gani napaswa kuufuata na kuna wakati TIN Number zilibadilishwa mi sikwenda kubadili je nafanyaje?
UTARATIBU WA KUFUATWA KWA LESENI ILIYO EXPIRE 2020 NI UPI?....PLUS GHARAMA ZAKE PLEASEWasiliana nasi kwa namba za bure kwa kupiga
0800780078/0800750075 au
barua pepe huduma@tra.go.tz au
WhatsApp 0744233333
Anachosema hapo juu ndio uhalisia sio kwamba hautopata ila muda utautumia utakuwa mwingihaina haja ya rushwa ma TRA wanampa control number anaenda kulipa bank au kwa simu
70,000 tu unapata duplicate yakeHabari wanajamvi.
Nilikuwa nauliza utaratibu ukoje pamoja na gharama za Kulipia, Viambatana vya kuambatanisha, Ikiwa Una leseni ya udereva ambayo ukomo wake ni 2027 na imepotea.
Hardly wiki moja tuBàada ya hapo anasubiri muda gani?
hakuna cha muda mwingi wala niniAnachosema hapo juu ndio uhalisia sio kwamba hautopata ila muda utautumia utakuwa mwingi
Nachosema nakijua mkuuhakuna cha muda mwingi wala nini