Zipi taratibu za kuanzisha NGO na kuandikisha itambulike?

Zipi taratibu za kuanzisha NGO na kuandikisha itambulike?

Mseriandy

Member
Joined
Mar 27, 2011
Posts
35
Reaction score
6
Nina wazo la kuanzisha NGO ya mazingira.

Nataka ifanye kazi wilaya moja, baadae mkoa mzima.

Vipi taratibu ni zipi?

Unaandikishaje kwa serikali ili kupata kibali?
 
Mou na articles of association ni shs ngapi kuandika?
 
Nina wazo la kuanzisha NGO ya mazingira.

Nataka ifanye kazi wilaya moja, baadae mkoa mzima.

Vipi taratibu ni zipi?


Unaandikishaje kwa serikali ili kupata kibali?

ninaweza kukusaidia napatikana 0655 308308.
 
Back
Top Bottom