Zipi taratibu za kufuata kisheria katika kumiliki kiwanja, shamba na nyumba

Pastory Kimaryo

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2018
Posts
967
Reaction score
668
Habari wana JF,

Nahitaji kujua kama kuna mtu ana kiwanja anataka kuniuzia natakiwa nifuate taratibu gani kisheria ili nisije kugubudhiwa baadae, kwa vijijini taratibu zikoje na kwa mijin taratibu zikoje pia nikitaka kununua shamba nifuate taratibu zipi ili hilo shamba liwe mali yangu halali kisheria.

Kama nataka kununua nyumba kutoka kwa mtu au kuachiwa nyumba natakiwa kufuata taratibu gani ili hiyo nyumba iwe mali yangu kihalali?

Natanguliza shukrani! 🙏
 
FIKA KWA MWANASHERIA(ADVOCATE). MUELEZEE NA TARATIBU ZOTE ATAKUPA

Kamwe usije nunua eneo kwa kuandikishana kwa mwenyekiti wa serikali ya mtaa au Kijiji au mtendaji. UTATAPELIWA, hawa watu hawana mamlaka katika hilo.
 
FIKA KWA MWANASHERIA(ADVOCATE) ...MUELEZEE NA TARATIBU ZOTE ATAKUPA


Kamwe usije nunua eneo kwa kuandikishana kwa mwenyekiti wa serikali ya mtaa au Kijiji au mtendaji..UTATAPELIWA...hawa watu hawana mamlaka katika hilo.
Hiv wanasheria si wapo wa sekta mbali mbali ama? Afu mi nipo kijijini sijui namuaccess vip mwanasheria!
 
Yaaan kuna hatua za kufuata.

Nimenunua shamba ila cha ajabu majirani wakilima wanaingia hadi kwangu.

Jana nlikuwa huko kiukweli nimekwazika sana.

Nikamsimulia jamaa yangu ambaye ye alisomea Chuo cha Ardhi
Akasema hapo mchawi kupata Hati ya umiliki tu ili tukanyooshe mipaka yetu.

Amenieleza mambo mengi

Kikubwa kuwaona wahusika

Shamba nlinunua 2018.

Nliweka zile bikon
Upande mmoja hazipo zimeng'olewa .
Kuna changamoto sana.
 
Pole sana braza, sasa hao wahusika unaowazungumzia wewe ni wepi?
Mi naamin ktk washkaj zako ulio soma nao watakuwepo wenye utaalam na hayo mambo wachek.


Mm jamaa yangu anahusika na upimaji ardhi seheme mbalimbali anaju fitna na chochoze zote za halali.. Yeye atanipia bure.
Na ameahidi lazima nipate Hati ya umiliki shamba.

Baada ya hapo ndo nitaanza shughuli zangu.

Ila kwa sasa amesema niturie
 
Ok poa
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…