Hahaha nimekuelewa now..kweli bwana kuna watu wakivaa hivo wanachefuaSoma uzi ukisha elewa ndio u comment
Wee kama mwanaume kweli si ungemfuata umshauri.Kama dada yako next time mshauri. Avae kulingana na alivyo ebo
SinzaMi mgeni jijini ukisema meeda sijui.
Hiyo meeda iko wapi?
Wewe ni shetani kabisaMi mnaolalamikia nguo fupi siwaelewi kabisa...vaa ww tukutamani basi...msiturudishe miaka ya 70, acheni tung'arishe macho