Zipo kiasi gani kulipia wawekezaji wazembe?

Sokomoko

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2008
Posts
1,915
Reaction score
129
Na Mwandishi Maalum

Source: MwanaHalisi
 
Sasa Nyie Waswahili Ndio Wahusika Wakubwa Katika Kuuwa Na Kudidimiza Mashirika Haya Pamoja Na Mali Zake , Hao Ni Baba Zenu Wajomba Zenu Na Majirani Zenu Wengine Ni Wazee Wenu Wa Makanisa Ndio Wanaofanya Kufuru Hizo Aibu Sana
 
Jamani usemi wa Kiswahili usemao 'wajinga ndiyo waliwao' mnaukumbuka? Msamiati 'uwekezaji' unaeleweka? kama kashindwa kuwekeza anaitwaje mwekezaji? Sheria ya mikataba iko wazi kwa nini serikali isisitishe mkataba? Sisi wananchi kwa vijisenti vyetu kwa kutumia vitu kama vipande vya umoja ua NIKOL tunaweza tena serikali yetu isituaibishe.
 

Mhe Kipesile,

Unaposema vijisenti ni matumaini yangu huamanishi 1 million dollar maana wengine tunashindia mapande ya mihogo kisha mnatukejeli kuita mijihela yote hiyo vijisenti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…