Sheikh23
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 1,175
- 1,934
Happy New Month to all...
Leo ni tarehe 1 July,mwezi uliokuwa ukisubiriwa kwa hamu na watumishi wazalendo,sioni shauku,matumaini,bashasha na furaha kama enzi zileeee,nini kimetokea?
Mwenye updates/fununu/tetesi/za chini ya kapeti/kutoka kwa mtu wa jikoni/za kunyapianyapia juu ya NEEMA iliyokuwa ikipatikana kama itakuwepo this month aje kulipa matumaini kundi tajwa hapo juu.
•
•
Uzi tayari...
Leo ni tarehe 1 July,mwezi uliokuwa ukisubiriwa kwa hamu na watumishi wazalendo,sioni shauku,matumaini,bashasha na furaha kama enzi zileeee,nini kimetokea?
Mwenye updates/fununu/tetesi/za chini ya kapeti/kutoka kwa mtu wa jikoni/za kunyapianyapia juu ya NEEMA iliyokuwa ikipatikana kama itakuwepo this month aje kulipa matumaini kundi tajwa hapo juu.
•
•
Uzi tayari...