Zipo za Kumwaga kuanzia "small size"

Zipo za Kumwaga kuanzia "small size"

ngoshwe

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2009
Posts
4,131
Reaction score
937
Kwa wale wanaohitaji hii, zipo za kumwaga from Small size to XXXXL. Zapatikana katika ofisi za vijana wetu Lumumba na hata mikoani. ukihitaji uje na kitambulisho chako cha Kazi..ni bure hakuna kulipia chochote.




securedownload.gif
 
Asante sana mkuu kwa Ubunifu.
Vipi zinapatikana wapi na bei gani mkuu? Mi nahitaji nyingi kwa ajili ya familia yangu yote na ndugu wa karibu pia.
 
Asante Mkuu.. zapatikana wapi hizi zinatufaa sana kwenye kampeni zetu sie wafanyakazi kuwahamasisha wenzetu wasijipendekeze kwake maana alitukana hadharani tena LIVE bila chenga kwenye vyombo vyote nchini vya habari.
 
Please, tuambieni zinapatikana wapi haraka.. nina mzuka nazo kishenzi..
 
Uhalisia wa hili???????????????? Mi chichemi!
 
Asante sana mkuu kwa Ubunifu.
Vipi zinapatikana wapi na bei gani mkuu? Mi nahitaji nyingi kwa ajili ya familia yangu yote na ndugu wa karibu pia.

Mkuu nakutakia kila la heri kuzivaa, hata mimi nitaivaa, lakini uko tayari kumwagwa damu kama mimi?
 
Niko tayari kwa yote.. tusipokua wakati kidogo hawa CCM watazidi kutufanya mazuzu..
 
Mkuu nakutakia kila la heri kuzivaa, hata mimi nitaivaa, lakini uko tayari kumwagwa damu kama mimi?
Mkuu! hii ni biashara nzuri sana..ila utoe hiyo pcha hapo. maana hawa jamaa watakutandika wakutoe meno ya mbele buree!!

Mi nipo tayari kuivaa!!
 
Presha zitawapanda zigo hilo likiingia mtaani!
 
Kwa wale wanaohitaji hii, zipo za kumwaga from Small size to XXXXL. Zapatikana katika ofisi za vijana wetu Lumumba na hata mikoani. ukihitaji uje na kitambulisho chako cha Kazi..ni bure hakuna kulipia chochote.




View attachment 11975

Kitambulisho cha kazi cha nini wakati ni za bure
 
Kitambulisho cha kazi cha nini wakati ni za bure

Kumbe ni za Bure....kwa maana hiyo hata walala hoi wanaweza tu kuzipata sio...
Hiyo safi sana, lakini wadau wanaoweza kuchangia chochote nadhani watakua tayari kuchangia hela kwa ajili ya printing.

Nawakilisha tu..
 
ANGALIZO

usitafute vita ya mawe,,,wakati unaishi kwenye nyumba ya vioo
 
hiyo kazi uliyokuwa nayo kama unataa ife jaribu hii kitu

uhuru wa hivyo bado bongo haupo..............

lakini kma ujasiri huo unao.........big up!
 
Ungekamilisha kwa ku-fotoshop kiganja kimaanishe ile 'up urs'
 
Ukitoa picha rangi ya fulana inatosha kabisa kufikisha ujumbe na wavaaji watakuwa salama. Kwa kuweka picha kwenye hayo maneno assumption ni kuwa huyo mwenye picha ametamka hivyo, kuna hatari ya mvaaji kuozea lupango mpaka uchaguzi upite.
 
Duh! Hii kamba bin nyuzi ya Ngoshwe ni kali. Hiyo jeuri Tz. bado haijafika. Aidha, pendekezo la Abdulhalim utaambiwa haliendani na "maadili yetu ya kitanzania".Sisi ni watu waungwana sana. Hata mods hawatakubali, bila shaka. Yumkini muungwana hivi sasa anajutia kiherehere cha kuwasemea ovyo wekaz pamoja na kwamba tayari chama chao cha kimafia kishakamilisha mkakati wa kutimiza hesabu yao ya kura kama wao waitakavyo.
 
Back
Top Bottom