Paulsylvester
JF-Expert Member
- Oct 15, 2021
- 1,464
- 3,379
Hahaha hahaaa
Zitto unang'ata jiwe kwa kutumia meno?
Eneweyi! Watu husema, Mchwa nao ulijaribu kutafuna mwamba, naweye Zitto unajaribu kutafuna mwamba siyo?
Jiwe halitafuniki mzee! Ni kina nyie nyie mliokuwa mkisema kila makusanyo ya mwezi (TRA) ilikuwa ni data za Kupikwa
Mara hooh! Serikali haina pesa, nchi wahisani hawatoi pesa kwa dikiteta, Mara hoooh, wakandarasi hawalipwi kwa sababu serikali ya dikiteta haina fedha,
Mara hoooh, kaanzisha miradi mingi wakati fedha hazina hakuna, Mara haendi nje na ndiyo maana serikali yake haipewi mikopo kwa sabb kaharibu mahusiano!
Hizo fedha mnazosema JPM kakwapua kazipata wapi na mini kazifanyia?
Wewe mwenyewe unafahamika una mahekalu ya majumba huko nje, sasa utuambie huyo unayemsema kaiba pesa kapeleka wapi na kazipata wapi ili hali mlikuwa mkisema serikali yake haina pesa, takwimu ni za kupika?
Zitto athibitishe wizi wa JPM sio hizi kelele
JPM amewashinda akiwa hai na bado atawapiga akiwa hayupo
Zitto unang'ata jiwe kwa kutumia meno?
Eneweyi! Watu husema, Mchwa nao ulijaribu kutafuna mwamba, naweye Zitto unajaribu kutafuna mwamba siyo?
Jiwe halitafuniki mzee! Ni kina nyie nyie mliokuwa mkisema kila makusanyo ya mwezi (TRA) ilikuwa ni data za Kupikwa
Mara hooh! Serikali haina pesa, nchi wahisani hawatoi pesa kwa dikiteta, Mara hoooh, wakandarasi hawalipwi kwa sababu serikali ya dikiteta haina fedha,
Mara hoooh, kaanzisha miradi mingi wakati fedha hazina hakuna, Mara haendi nje na ndiyo maana serikali yake haipewi mikopo kwa sabb kaharibu mahusiano!
Hizo fedha mnazosema JPM kakwapua kazipata wapi na mini kazifanyia?
Wewe mwenyewe unafahamika una mahekalu ya majumba huko nje, sasa utuambie huyo unayemsema kaiba pesa kapeleka wapi na kazipata wapi ili hali mlikuwa mkisema serikali yake haina pesa, takwimu ni za kupika?
Zitto athibitishe wizi wa JPM sio hizi kelele
JPM amewashinda akiwa hai na bado atawapiga akiwa hayupo