Mtu huvuna alichopanda:
Ukipanda bangi huwezi kuvuna nyanya.
Ni muhimu wanasiasa kujifunza umuhimu wa kutokuwakatisha tamaa wananchi ambao ndiyo mtaji wao.
'Ni wazi hili la kikosi kazi lilikwàza watu."
Wanajitokeza vipi watu kwenye shughuli zenu kama pana mambo ya msingi tu mnayo wakwaza nayo?
Tujifunzeni Kenya, Sengal na kote kwingine ambako haki vikiwamo ukombozi havifanyiwi ajizi.
Watu wanahitaji kupewa hamasa persistently, si kuvunjwa moyo.
Ukipanda bangi huwezi kuvuna nyanya.
Ni muhimu wanasiasa kujifunza umuhimu wa kutokuwakatisha tamaa wananchi ambao ndiyo mtaji wao.
'Ni wazi hili la kikosi kazi lilikwàza watu."
Wanajitokeza vipi watu kwenye shughuli zenu kama pana mambo ya msingi tu mnayo wakwaza nayo?
Tujifunzeni Kenya, Sengal na kote kwingine ambako haki vikiwamo ukombozi havifanyiwi ajizi.
Watu wanahitaji kupewa hamasa persistently, si kuvunjwa moyo.