ACT Wazalendo
JF-Expert Member
- May 5, 2014
- 631
- 1,577
"Mwaka sasa umetimia tangu ututoke. Ulituachia misingi imara kiuongozi. Tumeendeleza wosia wako wa kututaka kupigania Maridhiano ya Wazanzibari kwa nguvu na juhudi zote. Tumeendelea kushikamana na kuimarisha Taasisi yetu ya ACT–Wazalendo. Asante sana kwa Maisha yako kwetu Maalim."
Kiongozi wa Chama
Zitto
#WeAreTheFuture
#TheFutureIsPurple
#ACTKiganjani
Kiongozi wa Chama
Zitto
#WeAreTheFuture
#TheFutureIsPurple
#ACTKiganjani