Uchaguzi 2020 Zitto aja juu kukatwa kwa Wagombea wa ACT–Wazalendo

Uchaguzi 2020 Zitto aja juu kukatwa kwa Wagombea wa ACT–Wazalendo

ACT Wazalendo

JF-Expert Member
Joined
May 5, 2014
Posts
631
Reaction score
1,577
"Miongoni mwa Wagombea wetu 218 wa majimbo yote 264 nchini, wagombea 40 hawakuteuliwa kabisa!Wagombea 22 wameenguliwa kwa mapingamizi Tanzania Bara na 14 Zanzibar (9 Pemba). Jumla wagombea 76 wameenguliwa.Tumekata Rufaa Tume ya Uchaguzi na TUPO TAYARI kwa MASS ACTION

Wakati tunaendelea na hatua zote za kisheria ( hatutaacha hata moja ) pia tunaunga mkono wito wa Mwenyekiti wa Chama Taifa Seif Sharif Hamad na Mgombea wa CHADEMA Tundu Lissu kuandamana Nchi nzima kutaka wagombea wetu warejeshwe. Tume ya Uchaguzi iwe makini sana sana."

Zitto Kabwe
Kiongozi wa Chama
 
Nionavyo hicho ndicho watawala na wapambe wao wanachotaka ili wapate sababu za kuumiza raia kana kwamba wao wanaishi sayari nyingine ama wao ndio wenye haki miliki ya nchi hii.
 
Huu ushenzi kwenye uchaguzi mkuu hatujawahi kuuona tangu nchi hii ipate uhuru kuna haja ya kuishinikiza serikali ijiuzulu ni serikali dhalimu kabisa kuwahi kutokea.
 
Back
Top Bottom