Kituo cha chanel ten kimeeleza kuwa mbunge wa kigoma kaskazini apigwa bomu napolisi,mitaa ya kigoma mjini baada ya kwenda kumpa back up mgombea wa kigoma mjini kupitia CHADEMA,kutokana na mgombea wa thithim(CCM) kutangazwa mshindi katika ushindi unaooneka kuwa kuna uwezakano wa maji kachanganywa na petrol (kuchakachuliwa). HAPA NILIPO NIME PANIC MAANA NAONA KUNA UWEZEKANO WA NEC KUWAAMBIA WAKURUGENZI WA UCHAGUZI KUWA WABUNGE WA UPINZANI WAMETOSHA.SO WANAFANYA KILA NJIA KUIBA HAKI.