Elections 2010 Zitto akabwa koo jimboni

Afanye booking ujermany mapema asije kosa ubunge akakosa na kazi za vibarua ujerumani
siasa kazi kweli kweli

Huyu lazima arudi ujermany akasafiche vyoo vya mawaziri asubiri moto wa ccm mwaka huu

Are u great thinker or great sinker.
Wewe usiyekuwa mbunge unafanya kazi vibarua nchi au unasafisha vyo vya mawaziri wa wapi? Hizi ni pumba tena pumba amabazo hata kitimoto hali
------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------
Na hii habari kama ni kweli basi anachoshangaa zitto sio cuf kumpokea huyo Dunia nahika kinachomstajabisha na kumtia wasi wasi ni probability yake ya ushindi kuzidi kupungua. Zitto hiyo ndo siasa utakuwa shujaa zaidi ukiwashinda wote wawili.
 
Na ashindwe na kulegea huyo zitto

NN,
kizungu kisikukwaze mkuu, ile interview ingekuwa kikwetu, nadhani ungemalizia kumsikiliza hadi mwisho..
Huyu amesoma UD then Ujerumani, hivyo usitarajie makuu kwenye kizungu ( i mean kugha ya malkia)
Pamoja na mapungufu yake lakini ni kati ya wanasiasa machachari hapa nyumbani.Nadhani tusichoke, tumtie moyo tuu..
 

Huyu ni owner wa Happy skillful bingwa wa kuiba mitihani nchini -Zitto usiwe na shaka tunakutengenezea dawa kuna dogo alilrecord kwenye simu akiwa anampanga aende kigoma kufanyia mtihani kwa sababu kule ni rais kuiba mitihani! Huyu mtu ni hatari sana kwa taifa. Huko CCM kulimfaa lakini upinzani na huyu mtu anaye destroy mfumo wetu wa elimu ni hatari sana. Shule yake ya happy skillful ameibadirisha jina na kuita Ambassador kwa kuwa wazazi wote walikuwa wanaikimbia shule
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…