WanaJF,
Bwana Pinda amekuwa na kauli nyingi zenye utata, lakini hiyo tu inaonyesha jinsi nchi ilivyo na umasikini wa uongozi. Kwani hii si mara ya kwanza kwa viongozi wa kuongea irresponsibly, mmewasahau kina Mramba(watanzania watakula majani), Msuya( kila mtu ataubeba mzigo wake), Chenge (vijisenti), Ngasongwa (mikataba kuwa siri ni best practice), hata President (ukitaka kula sharti uliwe) .Mawaziri wanawadharau wabunge hasa wa upinzani- juzi Sumari badala ya kujibu hoja za Slaa anatoa kauli za kuattack.... ''halafu na wewe tafuta hoja nyingine''. Hivi Sumari anasahau Slaa anawakilisha wananchi? Kwa tafsiri nyingine alikuwa anawakaribia wananchi wanotaka haki itendeke- to bring culprits to justice.
Anyway- to summarize, democracy is still under infancy stage (if this is not an exagerration) in Tanzania- ukitaka kujua angalia nchi za Ulaya (good example UK, people are resigning just for failing to account 5GBP!) Hapa mtu anaiibia nchi, anatukana wanachi, prime minister anasimama kumtetea tena katika bunge, na wabunge wa CCM wanashangilia!.
Hata hivyo, Zitto deserves an applause- nafurahi na kupata matumaini kwa kazi yake bungeni- tuzidi kuwahamasishana vijana tugombee nafasi- If you know kijana mwenye uwezo wa kuongoza encorage them to kugombea- tujipenyeze u taratibu one day nchi yetu itaongozwa na wazalendo!
Zitto- big up
- i like the statement aliyompa PM'.....''
namshauri atazame kauli zake maana zinapelekea watu makini waanze kuhoji uelewa wake wa demokrasia,
jioni njema wana JF- God bless us, God Bless Tanzania and Africa!
Laibon