Mpita Njia
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 6,997
- 1,172
Mungu AMPE UZIMA mara moja kwani Tunamwitaji.
Na kama kuna mkono wa MTU basi watamwaga damu bongo.
mkuu nawe kwa kuamrisha hujambo.
Kama kweli ni mgonjwa nawaombea wote pamoja naye na wagonjwa wote walio hapo mhimbili walio lazwa naye na pia kote dunia Mungu apate kuwashushia mkono wa rehema na hatimaye warejee ktk hali yao ya kawaida na kwayo wapate kukutukuza wewe ulie Juu Bwana wa mabwana
Mungu AMPE UZIMA mara moja kwani Tunamwitaji.
Na kama kuna mkono wa MTU basi watamwaga damu bongo.