Mama mzazi wa Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe, Shida Salum na bibi wa mbunge huyo, wakimfariji mbunge huyo aliyelazwa katika hospitali ya Muhimbili Jumatano Dar es Salaam.
Yuko wodi gani?Anaendelea vizuri, alichukuliwa vipimo na leo hii majibu yanatarajiwa kutolewa ili apatiwe tiba muafaka.
Yuko wodi gani?
Waheshimiwa kwanini mnapenda kuchepuka na kuanza kubishanabishana, hata kwenye thread isiyo husika? JF watengenezee "Random arguments thread..."
Zitto Wishing you swift recovery!
Big up!Nyani Ngabu,
Ukiendelea hivi I will offer you a 1 month SERVER (not nick) ban. Behave!