Zitto Alazwa Muhimbili

Status
Not open for further replies.
Mwenyezi Mungu ahimidiwe. Nawashukuru pia madaktari hapo MNH kwa juhudi zao. Wishing a quick recovery buddy


Pia tuwaombee wagonjwa wengine waliolazwa mahospitalini na majumbani il warejee ktk hali yao ya kawaida na hatimaye tujenge taifa.
 
Anatakiwa kupumzika sana kwa siku tatu. Anatarajiwa kurejea Bungeni wiki ijayo.
 

Yaani hapa ndio naingiwa na wasiwasi kwanini zinapokaribia hoja nzito Bungeni wale wabunge vinara ndio wanakuwa wa kwanza kupelekwa Hospitali.
 
Waliokaribu wampe Pole zetu, lkn ni vema tukamshauri aoe ili apate mtu wa karibu wa kumpa pole na kumwangalia effective. na Mke ni security kubwa ktk Jamii zetu.

hoja nyingine bwana.. sasa mke akiumwa na mme akiumwa inakuwaje? la maana ni mtu kuuguzwa vyema. Kama wengine wanaoana kwa ajili ya kuuguzana basi ipo kazi, 'mbombo iliko'
 
hoja nyingine bwana.. sasa mke akiumwa na mme akiumwa inakuwaje? la maana ni mtu kuuguzwa vyema. Kama wengine wanaoana kwa ajili ya kuuguzana basi ipo kazi, 'mbombo iliko'

Mwanakijiji Bwana...Mambo ya kumkoma Nyani Mchana kweupe hiyo..Nimeipenda,muda mrefu sijapata majibu kama haya..

ha ha ha ha ha ha,ila najua zitto atakuwa na shemeji kwa ukaribu kama kuonyesha upendo..
 
Mhweshimiwa Zitto,get well soon! Nawatakia afya njema wagonjwa wote
 
hoja nyingine bwana.. sasa mke akiumwa na mme akiumwa inakuwaje? la maana ni mtu kuuguzwa vyema. Kama wengine wanaoana kwa ajili ya kuuguzana basi ipo kazi, 'mbombo iliko'

watauguzana. Kuwa na mwenza legal ni muhimu. Kila siku vichenchede hadi lini? Si kwa Zitto tu, ujumbe huu ni kwa vijana wotee mabachelor, msiogope majukumu!
 
Sasa ripoti za madakitari wetu zinasemaje maana za mwakiembe hatujaziona ukikumbuka madakitari wetu sa ingine hawajui ni mgonjwa gani wanaweza kumpasua kichwa anaetaka kuunganishwa mguu na anaeunganishwa mguu akapasuliwa kichwa ,hivi Zitto anaiaminia zaidi hospitali ya Muhimbili ? Na yote hii hutokana na viongozi wetu wa juu serikalini kuonekana ni wababaishaji zaidi wanajali maslai binafsi na hawajali maisha ya mgonjwa mradi wanafahakikisha wanamaliza kazi na kugesabu walichofisidi.
 
watauguzana. Kuwa na mwenza legal ni muhimu. Kila siku vichenchede hadi lini? Si kwa Zitto tu, ujumbe huu ni kwa vijana wotee mabachelor, msiogope majukumu!

mama wengine wanaona wao wenyewe ni jukumu tosha...
 
watauguzana. Kuwa na mwenza legal ni muhimu. Kila siku vichenchede hadi lini? Si kwa Zitto tu, ujumbe huu ni kwa vijana wotee mabachelor, msiogope majukumu!

kumbe unajua kuwa huyu kijana kicheche hatumsahau kule tunguu university na kifo cha mbunge wetu
 
kumbe unajua kuwa huyu kijana kicheche hatumsahau kule tunguu university na kifo cha mbunge wetu

mimi sijui ulikuwa kicheche huko tunguu?

Kijana kama hajaoa mwenza wake ni kichenchede. Kuoa swala la muhimu. Max anaonyesha njia, wengine mfuate. Kwani Max aweze ana nini na wengine waogope wana nini?
 
Naomba kuripoti kuwa Mheshimiwa Zitto ameruhusiwa kutoka hospitali mchana huu baada ya hali yake kuonekana kuwa na nafuu. Ameelekea nyumbani kwake kwa mapumziko zaidi


sasa mie kusema mungu ampuzishee kwa amani nimekosea wapi ?


na mungu ampumzishe kwa amani ili tanzania itulie na fitna zake
 
mimi sijui ulikuwa kicheche huko tunguu?

Kijana kama hajaoa hawezi mwenza wake ni kichenchede. Kuoa swala la muhimu. Max anaonyesha njia, wengine mfuate. Kwani Max aweze ana nini na wengine waogope wana nini?


Kwani huyo mchumba wa Max ana mapacha na wengine wakimbilie kutoa posa huko... ingekuwa mtu anatafuta mwenza kwa kubonyeza vitufe.. nadhani wengi wangekuwa wamejifunga pingu!
 
sasa mie kusema mungu ampuzishee kwa amani nimekosea wapi ?


na mungu ampumzishe kwa amani ili tanzania itulie na fitna zake

mmh haya bwana.. si mara moja nimenotice mambo fulani. Well kila shetani na mbuyu wake.. carry on.
 
mmh haya bwana.. si mara moja nimenotice mambo fulani. Well kila shetani na mbuyu wake.. carry on.

aah mwanangu, kwa hiyo wewe wala huogopi kuwa na mwenza, ila tu jinsi ya kumpata ndio tatizo? na kujua kote kutunga mashairi?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…