Zitto Alazwa Muhimbili

Status
Not open for further replies.

Nani kaanza, mie nimemwuliza Kevo, wewe ukadandia kwa swali chafu. Kwani wewe nilivyotaja nyama hatari na Pundit, si ungelidharau na kuendelea mengine; ulifanya hivyo? la hasha......nikakujibu stahili ya swali lako, sasa nataka uanzishe thread uanze na hilo swali uliloniuliza huko ndio utajua kama naweza kutupa mawe au la, usiwaogope sana Pundit na Nyama hatari, wao ni member tu kama mimi, ukisikia majina yao wala usihamaki. Na pia uache ubaku baku wa kujibu maswali ambao halikuhusu, nitaishia kukutajia Pundi na Nyama hatari. Get it,
 
are you insane? hebu kaanzishe thread ya kunitolea maneno machafu. Hapa si mahala pake, okay?

Na wewe mwulize huyo Kevo kuhusu hiyo avatar kwenye thread ingine au kwenye PM kwani hapa si mahala pake.....
 
Mpambanaji hashindwi mpaka kieleweke.
Tunamwombea apone mapema arudi mapema bungeni.
 
Hivi kujadiliana mpaka kutukanana ??

Mambo haya yatoka wapi tena jamani?? Tukateni ishu si mambo ya kuwindana .

hebu ona hapa halafu uniambie nimeanza kumtukana nani?


mimi nilimshauri ajilinde Kiafrika hawa akina kingunge na Chenge siyo watu wazuri.
kaka tunakuombea Mungu akulinde.

Mama said:
hiyo avatar yako inatisha!!!!!!!! afadhali hata ile ya nyoka, duh!

Nyani Ngabu;242845[COLOR="Red" said:
]Is it turning you on....?[/COLOR]

mfyuuuuuuuuuuuuuuuuu, wewe kila wakati unawaza kushoto tu, sehemu inayokuwezesha kufikiri imewekwa sehemu gani kwenye mwili wako? nakustahi; Nitawasiliana na Pundit na Nyama Hatari wajue jinsi ya kukuadabisha.


are you insane? hebu kaanzishe thread ya kunitolea maneno machafu. Hapa si mahala pake, okay?
 
Na wewe mwulize huyo Kevo kuhusu hiyo avatar kwenye thread ingine au kwenye PM kwani hapa si mahala pake.....

utajijune july, yakikushinda usilete hasira humu. Usingerukia swali la Kevo na kashajibu. Get it!
 

Siogopi mtu mimi ndo maana nimekwambia walete wote hao na wengine mnichangie. Hahamaki mtu hapa na wala haogopwi mtu. Na sina muda wa kuanzisha thread yako...popote pale nitakapokukuta ni kibano tu....huwezi kunipangia pa kukupa kibano....umesikia Mama huruma?
 
utajijuje july, yakikushinda usilete hasira humu. Usingerukia swali la Kevo na kashajibu. Get it!

hakuna linalonishinda mimi......superman that you know what.....
 

Sawa nimesikia kaka poa!
 
tuko hospitali tunamuangalia mgonjwa, mgonjwa ana maumivu na anahitaji maji ya kunywa, na mguu unahitaji kunyanyuliwa kidogo... tumemsahau mgonjwa tunashindana...kuhusu nani ni nani... kila kitu kina wakati wake. So Nyani na Mama... you two are amazing pair, naomba niitishe truce hadi tutoke hospitali kwanza.
 

No problem my brother. I had to put her in her place for a minute. It's all good now.
 

Cowards live longer my dear if you dont know ... waulize wale wapemba waliyevunjwa miguu kule pemba wakati wa uchaguzi ...yule mtoto aliyeuwawa kwenye maandamano ya CUF yuko wapi na wazazi wake wanafaidi nini au wale waliochinjwa na kuchomewa nyumba kisumu n.k wamepata ma ghorofa au .. Mwembechai pia kuna waliokwenda kuzimu .. sijui kama wamerudi tukawaulize ..

Mababu zetu ndiyo walitumia maji maji .. ila sasa kuna modern technology ya communication kokote ujumbe unafika siyo tena kuvaa katambuka na kuhangaika hovyo ..
 
unacheka cheka nini sasa we malaya wa kike?

naona unanilazimisha nikutukane matusi ya aina hiyo, na wewe ni wa kiume je? lakini nitamfikishia ujumbe nyama hatari labda ndio mnawezana.
 
Tunamwomba apone haraka ili arudi kwenye Mapambano. Zitto Watanzania bado tunakuhitaji tunakuombea upate matibabu mazuri ili urudi haraka iwezekanavyo.
 
GEt well soon Zitto, My prayers are with you!!
 
Waafrika ndivyo tulivyo. Hata kwenye misiba watani huwa wanakuja kuchangamsha wafiwa. Pole Mh. Zitto.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…