Zitto amekuwa kimya? Haikupaswa iwe hivi

Zitto amekuwa kimya? Haikupaswa iwe hivi

Mtu Asiyejulikana

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2017
Posts
2,254
Reaction score
5,161
Najiuliza sana huyu kijana alikuwa machachari sana kipindi cha JPM. Alikuwa hapitwi na jambo nliwahi kuamini kuwa siku za usoni atakuwa na mchango mkubwa sana.

Toka miaka ile anakuzwa na Chadema. Kipindi cha Kikwete na Kikwete akimtumia vizuri pia katika hoja mbalimbali ambazo zilikuwa zinahitaji mpiga mbiu aliyekuwa haogopi. Zitto was there

But ghafla nimerudi nchini miaka kama miwili mitatu sasa simsikii kabisa. Najiuliza inawezekana alifariki wakamzika kimya kimya? Haikupaswa iwe hivyo. Taifa lilipaswa kuhusika katika mazishi yake.

Lakini kama yupo hai. Je yu mzima kiafya? Amepatwa na nini? Tusiache vijana kama hawa wapotee tu kirahisi rahisi.
 
Usimuweke mwanasiasa mdhamana hata siku moja

Ova
 
Zito anawaheshimu wazazi wake
Au mnataka awadharau apate laana😎😎😎
 
Najiuliza sana huyu kijana alikuwa machachari sana kipindi cha JPM. Alikuwa hapitwi na jambo nliwahi kuamini kuwa siku za usoni atakuwa na mchango mkubwa sana.

Toka miaka ile anakuzwa na Chadema. Kipindi cha Kikwete na Kikwete akimtumia vizuri pia katika hoja mbalimbali ambazo zilikuwa zinahitaji mpiga mbiu aliyekuwa haogopi. Zitto was there

But ghafla nimerudi nchini miaka kama miwili mitatu sasa simsikii kabisa. Najiuliza inawezekana alifariki wakamzika kimya kimya? Haikupaswa iwe hivyo. Taifa lilipaswa kuhusika katika mazishi yake.

Lakini kama yupo hai. Je yu mzima kiafya? Amepatwa na nini? Tusiache vijana kama hawa wapotee tu kirahisi rahisi.
Punguza Utoto jamaa Mzima anaendelea na majukumu yake ya kifamilia. Labda atakayekufa ni DPW
 
Amefungwa mdomo

images - 2023-07-31T084323.642.jpeg
 
Najiuliza sana huyu kijana alikuwa machachari sana kipindi cha JPM. Alikuwa hapitwi na jambo nliwahi kuamini kuwa siku za usoni atakuwa na mchango mkubwa sana.

Toka miaka ile anakuzwa na Chadema. Kipindi cha Kikwete na Kikwete akimtumia vizuri pia katika hoja mbalimbali ambazo zilikuwa zinahitaji mpiga mbiu aliyekuwa haogopi. Zitto was there

But ghafla nimerudi nchini miaka kama miwili mitatu sasa simsikii kabisa. Najiuliza inawezekana alifariki wakamzika kimya kimya? Haikupaswa iwe hivyo. Taifa lilipaswa kuhusika katika mazishi yake.

Lakini kama yupo hai. Je yu mzima kiafya? Amepatwa na nini? Tusiache vijana kama hawa wapotee tu kirahisi rahisi.
Amekabwa na Uislamu katika sakata la bandari hajui afanye nini?
 
Zitto sio pingapinga wa kila kitu kama chadema! Najua unatamani apinge dpw lkn hawezi sababu kwenye zitto huwa hachengeshi kama chadema.
 
"Huyu kijana", aisee kumbe ZZK ni kijana bado. Basi na sisi tusiitwe wazee.

Hawezi pinga "chama kimoja" hata iweje.
 
Nature imemfunga mdomo, alijiapiza awamu hii hawezi kumpinga mama yake, sasa mama yake ameharibu pakubwa, kila anapojaribu kujiongelesha kumtetea, bado hali yake inakuwa ngumu, hakuna mtanganyika mjinga wa kumtilia maanani.
 
Back
Top Bottom