Zitto ana kibarua kizito

Asha Abdala

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2007
Posts
1,130
Reaction score
45
Na Tambwe Hizza


Kutoka: http://www.freemedia.co.tz/daima/2007/12/5/makala3.php
 
huyu ni tambwe hiza yule aliyetujulisha kuwa alikuwa akipika uongo wote wa CUF!!!
Leo anaweza akawa malaika na kushauri mambo mema kweli??
hapana mimi sikubaliani na huyu mwenda wazimu anayetukana mamba wakati hajavuka mto!! amejijua lini kuwa alikuwa sahihi wakati ni mtunzi wa uongo wote wa CUF? nani asiyejua kuwa amebebwa na ndugu yake makamba ili wamwngushe kigoda kule Tanga? leo hana mpya ni mtu mzushi kwa tabia ndio maana hata akiomba kuwa kiongozi wa mtaa hawezi kuchaguliwa. namwomba sana anyamze ili tusahau pumba zake vinginevyo atakufa natural death kisiasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…