ZITTO anakubalika zaidi ya Dk SLAA


Whata about per capita income man? if you want to have afair comapruison that is

List of countries by GDP (nominal) per capita - Wikipedia, the free encyclopedia
 

Toa midata ya kimagamba hapa!!!!!!!!!!!!!! Kwenu ni zanzibar sasa unacho ng'ang'ania hapa jamvin kwenye issue ambazo hazikuhusu nini? wewe ni mnafiki unayejikomba kwa magamba ili upate kula yako huna lolote kale tende huko. lazima wapemba watambae warudi kwao endapo muungano tutaufutilia mbali wanyonyaji wakubwa nyinyi mnakaa kwenye mikeka mnacheza bao siku nzima halafu mnashibia kodi zetu hatuwapendi
 
Zitto anakubalika zaidi kwenye jamii ya Kitanzania kwa vijana kwa sehemu kubwa na baadhi ya wazee..Slaa anakubalika kwa baadhi ya vijana wa Kaskazini pamoja na wazee wa pande hizo.
Hebu tupe takwim za opinion polls ulizofanya kufikia conclusion yako.
 
Take this wisdom from 2 Corinthians 10:12 "For we dare not make ourselves of the number, or compare ourselves with some that commend themselves: but they measuring themselves by themselves, and comparing themselves among themselves, are not wise. "
 
zitto ni hazina ya taifa ila slaa ndio wakati wake.
 
- Tungeachana na majina yao, tukajikita zaidi kwenye policies zao, toka wawe viongozi wamefanya nini in terms of policies productive kwa taifa, badala ya uyanga na simba.

Wwillie!

Mkuu njia pekee viongozi wa upinzani wanavyoweza kupimwa ni jinsi wanavyoshawishi sera zao kukubaliwa na kutekelezwa na serikali iliyo madarakani na kisha kutoa matokeo mazuri. Aidha, umakini wa hoja zao juu ya usimamizi wa rasilimali na uendeshaji wa shughuli za umma, nacho ni kipimo kingine. Wao hawana uwezo wa kushinikiza utekelezaji wa mikakati yao; inategemea jinsi wabunge and serikali ya CCM watakavyokubali.

Sasa pima mwenyewe wamefanikiwa kwa kiasi gani mpaka sasa? Kukugusia tu, hoja zao na mawazo yao ya muda mrefu kuhusu kupambana na ufisadi na ripoti ya CAG leo hii; hoja ya jinsi ya kuongeza mapato ya serikali toka sekta ya madini; hoja ya haja ya katiba mpya; n.k. Yako mengi zaidi ya ninayofahamu mimi. Kinachonipa raha zaidi ni kule kutoweka kimyakimya kwa ile kauli nyepesi iliyokuwa imezoeleka serikalini kwamba "serikali haina uwezo wa kufanya kila kitu; wananchi lazima wachangie!" hata pale serikali inapowajibika kugharamia.
 

Usijaribu kulinganisha masuala makubwa ya uongozi wa taifa na mashindano ya urembo au mpira wa miguu! Zitto ni mtu/rasilimali muhimu sana katika taifa letu nyakati hizi. Uzi wako unachofanya ni kutaka kumharibia nafasi yake hiyo muhimu katika jamii yetu. Hebu tulia, fuatilia nafasi hii taratiibu!
 



*** anafaa kwa kazi ya uyanga na usimba tu, hata huyo slaa hafai tatizo ni kubwabwaja jukwaani kutudanganya kama tulivyozoea kudanganywa, hii inchi hakuna anayefaa kwa sasa labda tuwakabidhi kina mwamunyange kwanza kwa miaka miwili tu ili heshima irudi. Usirudie tena kutuwekea huu uchafu
 
Anafaa kuwa rais in future akiendelea kuwa makini! Kuhusu kukubalika kuliko Dr. Slaa hilo tuachie wana chadema tutaamua wakati ukifika, lakini pia lazima ujue mwanandondi anakubalika kuwa yuko vizuri kwa kulinganishwa na mtu wa uzito sawa huwezi kumlinganisha Maiwether mwenye uzito wa light middle weight na Mike iron tyson ambae ni heavy weight hata kama maiwether hajawahi kushindwa pambano lakini hana uzito wa mike tyson kwahiyo hawawezi kulinganishwa!
 
huyu kigeu geu..Doctor angekua mjengoni cungesema ayo ayo kwake,au unaona yupo kimya sbbu hayupo mjengoni.umesahau mchaka mchaka wake alipokua mjengoni?acha kutupotosha ww.mwache kijana akue kwanza mda wake utafata
 
wassira anakubalika zaidi ya JK kwa muonekano kama utatumia darubini kali.
 
Kuna watu huwa wagumu kuelewa kweli, ishu ya urais huu sio wakati wake kwa cdm lakini mmeng'ang'ania zitto kuwa rais utadhani wewe ndo mwamuzi wa cdm wote nyie ndo mnamtia ujinga huyo dogo nyambafu.

pwent ya nguvu...jitwalie like
 
Jaman kama kijana anafanya vizuri lazima tumsifu kwa anayofanya.vinginevyo ni chuki binafsi.
 
Kuna watu hawamtakii mema Zitto...wanataka aishie wao walipo, uchochoroni. Kila kitu kinahitaji nidhamu ili uweze kukua na kukubalika. Ukifanya fujo watu watakuchukulia hivyo ulivyo...ukiiba nayo ndiyo tena.
Kama anataka afikie anakokwenda lazima ajenge nguvu hizo kwa strategy na sio mambo ya kupiga ngoma kwa maguvu. Ngoma ikilia sana hupasuka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…