Zitto anatamani kumuunga mkono mgombea mmoja, ila inaonekana bado hawajaafikiana ndani ya chama

Zitto anatamani kumuunga mkono mgombea mmoja, ila inaonekana bado hawajaafikiana ndani ya chama

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Zitto ametweet dk chache zilizopita ameandika "Nimezunguka Nchi yetu na kuona hisia za Watanzania. Juzi Mtwara Mjini alinifuata mama mtu mzima sana na kuniambia “mwanangu mmeshindwa kukubaliana Mgombea mmoja? Tafadhali mwanangu jitahidini”. Nilipata uchungu sana moyoni. Watanzania wanataka MABADILIKO. TUNAWAPA"

1600748026900.png
 
Mbona wakati anahojiwa na chombo kimoja cha habari kutoka Kenya, alisema kwamba waTanzania wasione wapo kimya. Eti wapo busy kuandaa baraza la mawaziri na ndio maana hata BM haonekani tena kuendelea na kampeni...[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Majuzi nimesema hapa kwamba mpinzani halisi aliyepo ACT ni Maalim Seif tu.

Hao wengine hawaaminiki

Mwenyekiti keshasema hapo Zitto anazunguka mbuyu tu.
 
Mbona wakati anahojiwa na chombo kimoja cha habari kutoka Kenya, alisema kwamba waTanzania wasione wapo kimya. Eti wapo busy kuandaa baraza la mawaziri na ndio maana hata BM haonekani tena kuendelea na kampeni.[emoji23][emoji23][emoji23]
Baraza la mawazili wa serikali ya mseto na walio kubali uasi dhidi ya jiwe, Membe ndiye coordinator wao.
 
Mnawapa kutoka wapi? Magufuli ameshaanza kuwapa Watanzania maendeleo, na ataendelea tena. Magufuli tano tena.
 
Zitto akili zinamrudi sasa anapo-ona Mgombea wake Membe hafanyi move zozote kuhusu kampeni.

Na kauli ya Mwenyekiti wa ACT Maalim Seif kumuunga Lissu, kumepokelewa kwa nguvu sana.

Zitto inabidi acheze ngoma inayoendelea tu, ana options chache.
 
Mbowe alimfukuza Zitto na wenzake na kuwaita wasaliti ndo Zitto akaanzisha ACT,Sasa leo undugu na CDM unatoka wapi? Wanafiki siyo watu wazuri.
Baba kumfukuza mwanae si mwisho wa uhusiano wao
Mbona Maalimu Jk aliwatimua waingereza halafu wakabakia kuwa ndugu wakaribu wakamsaidia alipotaka kupinduliwa?
 
Zitto ametweet dk chache zilizopita ameandika "Nimezunguka Nchi yetu na kuona hisia za Watanzania. Juzi Mtwara Mjini alinifuata mama mtu mzima sana na kuniambia “mwanangu mmeshindwa kukubaliana Mgombea mmoja? Tafadhali mwanangu jitahidini”. Nilipata uchungu sana moyoni. Watanzania wanataka MABADILIKO. TUNAWAPA"

Ni maneno ya Mtu mzima na mwenye akili. Ongeza na za kwako utapata jibu kuwa Zitto amekusudia kusema ni LISSU 2020.
 
Mbona mkanganyiko sana?? [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
JamiiForums704975005.jpg
 
Back
Top Bottom