gcmmedia
Member
- Jul 19, 2024
- 34
- 75
Wakati Tundu Lisu anatangaza nia ya kugombea nafasi ya Mwenyekiti wa CDM taifa, muda mchache baadae Zitto Kabwe kupitia kurasa zake za mitandao ya kijamii, hasa ukurasa wake kwenye mtandao wa X (zamani Twitter) ameonesha kufurahishwa siyo na kitendo cha Lisu kugombea, Bali kwamba kuna kutokuelewana ndani ya CDM, na labda CDM ndiyo inakufa .
Inawezekana akawa sahihi kuwa huu ukawa mwanzo wa mgogoro mkubwa utakaopelekea CDM kudhoofika na ama hadi kufa kabisa. Lakini hata hili likitokea haliwezi kupiga ya ACT kupata nguvu kubwa na uungwaji mkono mkubwa kufikia hatua waliyofika CDM sasa kuelekea uchaguzi Mkuu mwakani.
Kiongozi mzuri ambaye Ana ndoto za kuwa Rais wa nchi (Kama ZZK mwenyewe ambavyo amekuwa akieleza nia yake hiyo) asingetakiwa kuonesha tabia hiyo. Hii ni dalili kuwa ZZK siyo kiongozi anayeweza kuunganisha Taifa, Bali kushabikia mitafaruku ili afurahie mafanikio yake, ama, anafurahia kisasi kutokea. Ameonesha adui yake Mkuu kisiasa ni ama FAM au CDM.
Angeendelea kipambana kujenga Chamazi ACT
Ngoja inyeshe tuone panapovuja
Inawezekana akawa sahihi kuwa huu ukawa mwanzo wa mgogoro mkubwa utakaopelekea CDM kudhoofika na ama hadi kufa kabisa. Lakini hata hili likitokea haliwezi kupiga ya ACT kupata nguvu kubwa na uungwaji mkono mkubwa kufikia hatua waliyofika CDM sasa kuelekea uchaguzi Mkuu mwakani.
Kiongozi mzuri ambaye Ana ndoto za kuwa Rais wa nchi (Kama ZZK mwenyewe ambavyo amekuwa akieleza nia yake hiyo) asingetakiwa kuonesha tabia hiyo. Hii ni dalili kuwa ZZK siyo kiongozi anayeweza kuunganisha Taifa, Bali kushabikia mitafaruku ili afurahie mafanikio yake, ama, anafurahia kisasi kutokea. Ameonesha adui yake Mkuu kisiasa ni ama FAM au CDM.
Angeendelea kipambana kujenga Chamazi ACT
Ngoja inyeshe tuone panapovuja