Chadema huko kazi ipo?? zitto kichwa hicho hakuna kitu mtamfanya pamoja na kwamba mnatuhumu? very interesting?Waberoya umefuliaaa. Toka zako kaanzisheni chama chenu cha wahuni na Mwenyekiti wako Zitto.
Mkakiite Chama Cha Demokrasia ya Kihuni (CHADEKI)
Mtapata wahuni wengi tu.
Usituandikie upuuzi humu.
Leo Mheshimiwa Zitto, amevunja ukimya TBC, kasisitiza hana mpango wa kuhama Chadema ng'o ili pia kasema hakuna ubaya kumsuport home boy wake Kafulila kokote aendako.
- Hivi nani hasa anayetaka Zitto atoke huko, sisi wananchi au maadui zake huko Chadema? Halafu what is the difference akibaki au akitoka at this point and time?
Respect.
FMEs!
Chadema huko kazi ipo?? zitto kichwa hicho hakuna kitu mtamfanya pamoja na kwamba mnatuhumu? very interesting?
- Hivi nani hasa anayetaka Zitto atoke huko, sisi wananchi au maadui zake huko Chadema? Halafu what is the difference akibaki au akitoka at this point and time?
Anataka kuproove yeye ni mtu wa msimamo, ila pia anasimama kwenye true friendship na Kafulila besides political affiliation.