Elections 2010 Zitto atoa siku saba kwa Waziri

Huyo ndo mh.zitto! Msimamo unao ila sijui unachemka nini mpaka wananchi wanakuwa na wasiwasi. Zitto tetea haki ya wananchi mpaka kieleweke,usikubali ccm waongeze madiwani mamluki kama kule Arusha. Cdm ni imara,jenga chama,utaheshiwa!
 
Zitoa wembe ni ule ule usikubali kamwe kuburuzwa na hao wasioendeleza taifa kwa miaka hamsini na bado wangangania kuiongoza taifa sijui kwa maslahi ya nani?
 
Now you are talking Hon. zitto.
Congratulate!!!
 
Lakini hayo maneno yanatoka moyoni kwa zito ambaye alianza kupoteza umaarufu sa anayaka kuurudisha kwa nguvu? Cjui ngoja tuone hiyo hatua atakayochukua baada ya cku saba.
 


ZItto NI NANI MPAKA AMUAMURU WAZIRI?AMEPATA WAPI HAYO MAMLAKA? NANI ANAEMSIKILIZA HUYU?

KWAKO DOGO ZITTO LINDA MDOMO WAKO,SIO SAWA KUMKARIPIA NA KUMPA AMRI WAZIRI WEWE NI MBUNGE TUU TENA WA UPINZANI NA USIEAMINIKA HATA KWENYE CHAMA CHAKO

TAFADHALI KAA KIMYA NENDA ARUSHA JIUNGE NA NDUGU ZETU HUKO KUANDAA MAZISHI YA MASHUJAA WETU ,

KWA KWELI KWA SASA HATUKUAMINI TENA ZITTO TUNATAKA HELA ZAKO LAKINI HATUTAKI USHIRIKIANO NA WEWE TENA USIDHUBUTU KUTOA MATAMKO YA CHAMA TAFADHALI KAA MBALI NA CHAMA CHETU TUKUFU CHADEMA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…