Zitto calls on the international community to use its influence to help Tanzanians have a free and fair elections

Zito anaumwa ugonjwa wa Urais .
 
Tatizo kelele nyingi proof mmeatamia wekeni hata clip za kutengeneza mhalalishe majungu yenu

Sent using Jamii Forums mobile app
1. Mkuu hata yule mwenyekiti wenu wa uvccm taifa na kule Iringa hujawasikia?
2. Tamko la Magufuli kuzuia mikutano ya vyama pinzani ile 2016 hukulisikia huku Pole pole na Bashiru akitamba kwenye maeneo bunge ya upinzania bila kubughudhiwa?
3. Uchaguzi feki wa mitaa hukuona figisu iliyofanyika?
4. Ununuzi wa wapinzania kwa ule wa wazi kabisa wenye ushahidi kule Arusha hukuona?
5. Mauaji ya wapinzania ya Godfrey Luena wa Ifakara, Daniel John wa Hananasif, Jaribio la mauaji la Lisu, kupotea kwa viongozi wa Chadema Ben Saanane, Mwenyekiti wa Halmashauri ya Kibondo Simon KANGUYE hayo yote hauyajui?
6.
 
Zito anaumwa ugonjwa wa Urais .
jamaa ana hesabu Kali Sana.. angalia jinsi anavyoitaja Zenj kwenye post yake..keshapiga hesabu.. anataka nafasi ya Mbowe...He is never comfortable Mbowe being ahead of him.
 

Zanzibar is a part of the United Republic of Tanzania
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…