M-mbabe
JF-Expert Member
- Oct 29, 2009
- 13,203
- 23,027
Hapa chini ni swali ambalo Mh Zitto Kabwe ameuliza kupitia ukurasa wake wa Twitter.
Sina uhakika amelilenga kwa nani lakini binafsi naona si sahihi kwa ACT, Chadema na/au vyama vingine serious vya upinzani kuuliza swali hili in the first place.
In fact, ni sisi wananchi ndiyo ambao kwa miaka kadhaa sasa (kama si miongo) tumekuwa tukiwauliza ninyi viongozi mnaotuwakilisha katika crusade hii na bado hatujapata jawabu.
Sasa wananchi tunaanza kuwa puzzled na kupata wasiwasi mnapoanza kuturudishia swali letu kihivi. Tulitegemea tupate sauti ya mkakati mahsusi kutoka kwenu inayotoa mwongozo wa haswa sisi wananchi tushiriki vipi kivitendo katika kuufanikisha mkakati mtakaouleta mezani.
Msiishie mathalani kutuhimiza tu kuwa tujitokeze kwa wingi sana kupiga kura October. Hiyo pekee haitoshi kama mkakati kwani kwa mfumo tulio nao, wanaoamua ni nani ashinde uchaguzi ni watangaza matokeo na si wapiga kura. Tunahitaji kusikia kutoka kwenu suluhisho la hii kitu na mwongozo wenu kwetu wananchi vile mwataka tufanye.
Tunahitaji tangible solution.
Sina uhakika amelilenga kwa nani lakini binafsi naona si sahihi kwa ACT, Chadema na/au vyama vingine serious vya upinzani kuuliza swali hili in the first place.
In fact, ni sisi wananchi ndiyo ambao kwa miaka kadhaa sasa (kama si miongo) tumekuwa tukiwauliza ninyi viongozi mnaotuwakilisha katika crusade hii na bado hatujapata jawabu.
Sasa wananchi tunaanza kuwa puzzled na kupata wasiwasi mnapoanza kuturudishia swali letu kihivi. Tulitegemea tupate sauti ya mkakati mahsusi kutoka kwenu inayotoa mwongozo wa haswa sisi wananchi tushiriki vipi kivitendo katika kuufanikisha mkakati mtakaouleta mezani.
Msiishie mathalani kutuhimiza tu kuwa tujitokeze kwa wingi sana kupiga kura October. Hiyo pekee haitoshi kama mkakati kwani kwa mfumo tulio nao, wanaoamua ni nani ashinde uchaguzi ni watangaza matokeo na si wapiga kura. Tunahitaji kusikia kutoka kwenu suluhisho la hii kitu na mwongozo wenu kwetu wananchi vile mwataka tufanye.
Tunahitaji tangible solution.