Ikitotanzila
JF-Expert Member
- Sep 22, 2020
- 1,409
- 2,263
Bahati nzuri ikulu imemuumbua kwamba yeye anatetea hata kitu Cha kijinga ilimradi kina maslahi ndani yake.
Hilo swala la figure kukosewa yeye ameshakuwa msemaji wa serikali na kuona ndo ukweli wenyewe.
Hayuko tofauti sana na Pascal mayala
Hilo swala la figure kukosewa yeye ameshakuwa msemaji wa serikali na kuona ndo ukweli wenyewe.
Hayuko tofauti sana na Pascal mayala