Zitto huwa haeleweki yeye ni maslahi tu hata ACT akiona haina maslahi tena atasepa

Zitto huwa haeleweki yeye ni maslahi tu hata ACT akiona haina maslahi tena atasepa

Ikitotanzila

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2020
Posts
1,409
Reaction score
2,263
Bahati nzuri ikulu imemuumbua kwamba yeye anatetea hata kitu Cha kijinga ilimradi kina maslahi ndani yake.

Hilo swala la figure kukosewa yeye ameshakuwa msemaji wa serikali na kuona ndo ukweli wenyewe.

Hayuko tofauti sana na Pascal mayala
 
Bahati nzuri ikulu imemuumbua kwamba yeye anatetea hata kitu Cha kijinga ilimradi kina maslahi ndani yake.

Hilo swala la figure kukosewa yeye ameshakuwa msemaji wa serikali na kuona ndo ukweli wenyewe.

Hayuko tofauti sana na Pascal mayala
Hakuna Mwanasiasa hapo yupo kwa Ajili ya Maslahi na kuwachongea Wenzake
 
Bahati nzuri ikulu imemuumbua kwamba yeye anatetea hata kitu Cha kijinga ilimradi kina maslahi ndani yake.

Hilo swala la figure kukosewa yeye ameshakuwa msemaji wa serikali na kuona ndo ukweli wenyewe.

Hayuko tofauti sana na Pascal mayala
Ikulu imemuumbua leo kwa kurekebisha hiyo $6m na sio b
Imeona wanaohoji wana hoja
 
Bahati nzuri ikulu imemuumbua kwamba yeye anatetea hata kitu Cha kijinga ilimradi kina maslahi ndani yake.

Hilo swala la figure kukosewa yeye ameshakuwa msemaji wa serikali na kuona ndo ukweli wenyewe.

Hayuko tofauti sana na Pascal mayala
He has proved his level of stupidity.
 
Bahati nzuri ikulu imemuumbua kwamba yeye anatetea hata kitu Cha kijinga ilimradi kina maslahi ndani yake.

Hilo swala la figure kukosewa yeye ameshakuwa msemaji wa serikali na kuona ndo ukweli wenyewe.

Hayuko tofauti sana na Pascal mayala

Anakwambia sera yake ni kazi na bata. Bata kwa kwenda mbele.

Party, wanawake, pombe, udini, ukabila umemjaa. Anataka na yeye kuwa Rais?
 
Back
Top Bottom