The only
JF-Expert Member
- May 19, 2011
- 10,805
- 14,181
Swala la kuwa huyu Kiongozi ni brilliant halina mjadala.
Pia swala la kuwa over ambitious, trickstar, Msoga slave, Tanzanian with foreign origin(moo), liko wazi narudia zitto ni mtanzania halali alie na asili ya nje hili huficha sana sijui kwa nini.
Chadema alikuwa anawasiliana na Kikwete (udini)sana. Zitto ni extremist wa dini sana ndio maana yuko busy na siasa zenye kuumiza waislami sana hata kwao pale mtaa wa Anna ujiji pako hivyo.
Kwa Magufuli alijisogeza sana hasa alikuwa anavizia uwaziri wa madini mzee akakaba, akaanza kupayuka.
Leo anamsogelea mama kwa gia ya kujifanya mstaarabu (aliwahi muita magu mshamba) na kama mdee bungeni naye ana act kama cha cha pili kwa ushindi, ndio maana mama skamtumia, uzuri Chadema wanajua karata zake zote hata lissu aliita kikao kile kilitumia mamluki( unadhamu mkuu wa mamluki ni nani?)
Na akasema hawataki huruma ya Zitto wanataka stahili .
Ngoja nika bet ntarudi
Pia swala la kuwa over ambitious, trickstar, Msoga slave, Tanzanian with foreign origin(moo), liko wazi narudia zitto ni mtanzania halali alie na asili ya nje hili huficha sana sijui kwa nini.
Chadema alikuwa anawasiliana na Kikwete (udini)sana. Zitto ni extremist wa dini sana ndio maana yuko busy na siasa zenye kuumiza waislami sana hata kwao pale mtaa wa Anna ujiji pako hivyo.
Kwa Magufuli alijisogeza sana hasa alikuwa anavizia uwaziri wa madini mzee akakaba, akaanza kupayuka.
Leo anamsogelea mama kwa gia ya kujifanya mstaarabu (aliwahi muita magu mshamba) na kama mdee bungeni naye ana act kama cha cha pili kwa ushindi, ndio maana mama skamtumia, uzuri Chadema wanajua karata zake zote hata lissu aliita kikao kile kilitumia mamluki( unadhamu mkuu wa mamluki ni nani?)
Na akasema hawataki huruma ya Zitto wanataka stahili .
Ngoja nika bet ntarudi