Usisahau ujana maji ya moto,hiyo ni taarifa cha kuwa yuko huko,sasa kuanzia hapo anza kuuliza maswali ya msingi kwa maono yake kupitia mazungumzo yaka na wasudani hao,nini nafasi ya Tanzania kushirikiana na wadau hao wapya kama Taifa jingine jipya baada ya miaka mingi sana mara baada ya Namibia,Angola na South Afrika Kuwa huru.Tutegemee nini,Je watanzania waangalie maeneo yapi ya uwekezaji yaani ni fursa zipi zinalipa,ujenzi,mawasiliano,mabenki,viwanda na usafirishaji nk.
Toa michongo kupitia tathimi za haraka haraka sana.