Zitto Kabwe aula Simba SC!


Ukitaka kazi yako ifanyike mpe mtu aliye bize ("busy") na ukitaka kazi yako isifanyike mpe mtu aliye "idle".
 
Sasa ile dhana ya CDM ni Simba na CCM ni Yanga inazidi kukua
Yaani nyie kila Jambo mnalitazama kwa kutumia kurunzi ya Vyama..lol!
Mbona yule aliyekuwa Waziri Mkuu wa Uingereza Tony Blair ni shabiki mkuu wa Newcastle lakini hatujawahi kusikia mtu kusema LABOUR ni NewCastle??..
Acheni hizo bwana...
 
Yaani nyie kila Jambo mnalitazama kwa kutumia kurunzi ya Vyama..lol!
Mbona yule aliyekuwa Waziri Mkuu wa Uingereza Tony Blair ni shabiki mkuu wa Newcastle lakini hatujawahi kusikia mtu kusema LABOUR ni NewCastle??..
Acheni hizo bwana...
Tell them!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…