Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
Mimi ni vapour!, but truth must told.Yaani wewe ndio hewa kabisa. Unapinga umbea wakati ulichokiandika ni umbea mtupu.
Mtu yeyote anaetumia neno,mstari au chochote kutoka kwenye dini kujibu hoja zake za kidunia tayari ana tatizo la akiliKiongozi mstaafu wa ACT Wazalendo Mh Zitto Kabwe amemtaka mjumbe wa kamati kuu ya Chadema mh Jacob Boniface ajikite kwenye mambo ya Chadema badala ya kuvamia vyama vingine
Zitto Kabwe amesema wao wanajifunza kwenye Dini yao Qur'an Sura 109:6
" Wewe unatumia muda zaidi kuhangaika na mambo yetu, sisi hatuna muda na mambo yenu. Kila mtu ashinde mechi zake " ameandika Zitto Kabwe ukurasani X
Mlale Unono 😄😄🔥
Islamic state... Kigoma waarabu waliacha uchawi.SASA NIMEAMINI KUWA ACT WAZALENDO SIO CHAMA CHA UPINZANI
Waandamane? Kwa wanachama wapi wa kuandamana labda Zito, Abdul Nondo na wake na mahawara zao.Zitto atambue hawezi kufanya siasa bila kujipima na wengine, ndio maana wao ACT kila siku huwa wanaimba hawataki siasa za maandamano, wao wanataka siasa za kukaa mezani kutongozwa na mtawala.
Amtaje nani? Nani wa kutajwa😂😂😂😂Social media tu ila mainstream sijawahi ona Hata Mbowe akiwataja.
Nyerere wa ACT, kastaafu lakini anaongoza chama kwa mlango wa nyuma.Anaingilia wenzake
Banyamulenge.Huyu mkongomani naye atulie tu ameshapewa jimboView attachment 2944899
Kumbe ACT wazalendo ina dini yake! Dini yake ni uislamu.Kiongozi mstaafu wa ACT Wazalendo Mh Zitto Kabwe amemtaka mjumbe wa kamati kuu ya Chadema mh Jacob Boniface ajikite kwenye mambo ya Chadema badala ya kuvamia vyama vingine
Zitto Kabwe amesema wao wanajifunza kwenye Dini yao Qur'an Sura 109:6
" Wewe unatumia muda zaidi kuhangaika na mambo yetu, sisi hatuna muda na mambo yenu. Kila mtu ashinde mechi zake " ameandika Zitto Kabwe ukurasani X
Mlale Unono 😄😄🔥
Yeye ndiyo kila kituNyerere wa ACT, kastaafu lakini anaongoza chama kwa mlango wa nyuma.
Hapa mwana anajiona Mwarabu kabisa uko ndani anafeel KumhamadMuhamad, Si umeona hata Kodi za Kifalme kabisa🤣
Zitto ni mdini sn, umeona anakosoa huu utawala?Mdomo koma!! Kumbe hicho chama cha dini flani!![emoji23][emoji23]sisi wengine tujiongeze kuanzisha chetu
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Hatari sn kuwa na mtu kama ZittoHapa mwana anajiona Mwarabu kabisa uko ndani anafeel KumhamadMuhamad, Si umeona hata Kodi za Kifalme kabisa🤣
Ndiyo maana hamkosoi maza lakini kipindi cha Magu alikuwa mkosoaji no 1Kumbe ACT wazalendo ina dini yake! Dini yake ni uislamu.