johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Mh. Zitto anazijus akili zake na yeye. Maana ni mnafiki kweli kweliZitto Kabwe ni kama anamnanga Mbowe na Chadema Ukurasani kwake X
Anasema " From the AMBUSH to the BATTLE then the CONFUSION"
Tuzidi kuwaombea Chadema wasifike Kwenye Confusion ๐ผ๐ผ
Sahihi kabisaHii Ambush Mbowe Hakuitarajia.
Ambush inakawaida ya kumvuruga mshindani kisaikolojia. Na asipokuwa macho huachwa na athati mbaya ya afya ya AKILI
Tayari wameshafika na kisababishi kinajulikana, just tu watu wanakaza fuvuZitto Kabwe ni kama anamnanga Mbowe na Chadema Ukurasani kwake X
Anasema " From the AMBUSH to the BATTLE then the CONFUSION"
Tuzidi kuwaombea Chadema wasifike Kwenye Confusion ๐ผ๐ผ
Japo zimekaa kinafiki ๐๐Zitto katema nondo nzito Sana, japo zimekaa kiunafki Kama ilivyo hulka na desturi yake.FAM alizoea mashambulizi ya kushtukiza kwa Kila aliyegusa maslahi yake ndani ya chadomo.na Mara zote aliibuka mshindi mchana kweupe.
Sasa leo ambush imegeuka imekuwa battle na inakoelekea inaenda kumcofuse mazima .Amekutana na mwamba aneyejua kucheza karata zake kwa utulivu