Zitto Kabwe: IGP unawezaje kukubali kituo cha polisi kutumika na genge la watekaji?

Zitto Kabwe: IGP unawezaje kukubali kituo cha polisi kutumika na genge la watekaji?

Wiston Mogha

Senior Member
Joined
Feb 13, 2014
Posts
168
Reaction score
141
Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania @tanpol unawezaje kukubali Kituo cha Polisi kutumika na genge la watekaji? Unajisikiaje raia ambaye anapaswa kujiona salama kituoni akiteswa kutoka kituoni? Unawezaje kukubali Jeshi hili? Kamanda Wambura nakuomba 1) Ufanyike uchunguzi HURU wa kina 2) wajibisha makamanda wako Oysterbay mara moja 3) kama huwezi kufanya hayo, tafadhali JIUZULU mara moja.

IMG_6372.jpeg
 
Zito anatakiwa aende mbali zaidi. Kama hataki kuwawajibisha hao mashetani, na hataki kujiuzulu, Wananchi tuungane, bila ya kujali tofauti zetu na namna yoyote, tuwaondoe kwa nguvu hawa mashetani katika ofisi zao. Njia zipo nyingi, tena njia halali kisheria na kikatiba.
 
Zito anatakiwa aende mbali zaidi. Kama hataki kuwawajibisha hao mashetani, na hataki kujiuzulu, Wananchi tuungane, bila ya kujali tofauti zetu na namna yoyote, tuwaondoe kwa nguvu hawa mashetani katika ofisi zao. Njia zipo nyingi, tena njia halali kisheria na kikatiba.
Umeongea point sn
 
Zito Kabwe anakwepesha kwa kumlaumu IGP badala ya kumlaumu Rais Samia kama alivyokuwa anafanya kipindi cha Magufuli!!

Asali ni tamu sana
 
So, how Osterbay afu Katavi?
Huo ndio uthibitisho kuwa vyombo vya Dola vimehusika moja kwa moja kufanikisha unyama huu tena kwenye eneo lote la Jamuhuri ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar. 🤔
 
Back
Top Bottom