Emanuel Eckson
Member
- May 24, 2017
- 11
- 14
Kiongozi wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe na Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi, James Mbatia ni miongoni mwa watu waliohudhuria kesi ya Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe inayofanyika Leo Agosti 31, 2021 katika Mahakama kuu kitengo cha Uhujumu Uchumi Jijini Dar es salaam.
Umepotosha wananchi toka kwenye heading .Kwenye mwendelezo wa kesi ya uhujumu uchumi na ugaidi wa kupanga mauaji kwa viongozi wa serikali inayomkabiri mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe leo amefikishwa kwenye mahakama ya mafisadi iliyoanzishwa na aliyekuwa rais wa tano hayati Dr Magufuli ikiwa maalumu kwa ajili ya kushughulikia mapapa wa ufisadi nchini.
Kwa mara ya kwanza, Mbowe na wenzake wafikishwa Mahakama ya Mafisadi (video+) Kwa mara ya kwanza, Mbowe na wenzake wafikishwa Mahakama ya Mafisadi (video+) – Millard Ayo TV
Umepotosha wananchi toka kwenye heading .
Mahakama kuu devision ya ufisadi na uhujumu uchumi ipo Tanzania kabla hata ya huyo magufuli kuchukua formu ya kugombea uraisi