Papushikashi
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 10,963
- 13,287
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio basi tena huyoHa ha ha, dah, kwa hiyo Diva kaikosa ndoa.
Hahaha...[emoji23]Ha ha ha, dah, kwa hiyo Diva kaikosa ndoa.
Diva si ndie alikuwa anamnyemereaDiva kafanyaje tena maana ckwepo mjini mda
Zito hana mke, mbona kama umri umeenda kidogo au vipi, tutaanza ku-speculate vingine!Naona mapicha picha mitandaoni zito akimvisha mrembo pete mwenye newz zaidi atupe updates
Ile mashine ni 'ZOA ZOA ' vingine siwezi kuvisema, sijathibitisha kama daktari amethibitisha
Dada yetu wa chuo ndio basi tena.......ila kitu cha ukweli nadhani singida au arabic hiiZito anaye mtoto ila hakuwahi kuoa
Bungeni hajaenda leo lkn hata DDM inawezekana
Zito anaye mtoto ila hakuwahi kuoa
Ha ha ha anajiandaa safari ya ikulu 20252020 msije mkasema bachela anagombea urais