Zitto Kabwe kaingia kwenye ndoa?

Aoe sasa maana ufitina wake Umefikia mwisho Aoe atengenez familia yenye msimamo....aache kutumiwa na chama tawala mana sasa ataogopa kuiacha familia....lab atakuw mzalendo halisia!!

Ushauri huo ni kwa Zitto au ni pamoja na Mnyika,Sugu, bila ya kumsahau Rais mstaafu wa Mioyo yenu alietawala vifua vyenu 2010-2015 aliepo uhamishoni Canada n.k?
 
dah jamaa bado alikuwa na suuza rungu ! maana kuna video moja niliona yule mtangazaji wa clouds aitwae D*v alikiri kabisa kwamba aliwahi kuwa na mahusiano na msela mzito tena wali share kitanda .. kha ! nilisema kweli wanasiasa ni watembezaj rungu , maana kuna ile story ya aliyekuwa waziri mkuu wa italy silvio Belcon aliye sex na kabinti kabichi ..it was a big scandal in italy by that time ..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…