Zitto Kabwe kaingia kwenye ndoa?

Kwa nini Waislamu wote akipata pesa basi ni lazima ataoa Mwarabu au Mwanamke aliye na Uarabu? Nina uhakika Zito kabwe angekuwa hana fedha angeoa Mwanamke wetu wa Kitanzania mweusi kama mimi 100%!
Wanathamini Sana rangi ya mtume
 
Hii ni Celebrity Forum. Hata Chid Benz alijadiliwa humu ili watu wapate taswira kutoka katika 'vioo vya jamii'
Kuna aina ya kumzungumza MTU.. Lazima uheshimu privacy yake au huekewi maana ya privacy ? Hata katiba ya JMT inatambua privacy ya mtu... Cheki comments za vijana Wa dar zinavyoingilia privacy ya MTU...

Na tabia hii imeshamiri saaaaaana dar.. Mibaba mizima kuingilia privacy ya mtu
 
Maisha ya ndoa yaone kwa jiran maumiv yake mpaka uwe ndani
Namtakia heri!
 
Bakwata wameharibu hii dini,mtume alifanya hivi?
 
Mmmmmmm anataka amiliki amechoka kudo kwa machale
 
sikuona umuhimu wa yeye kuweka mipicha hiyo, kwanza angefanya kimya kimya, umri ukishafika 40+ ni aibu ndio unaoa. tena ulikuwa kwenye position ya mafanikio lkn hukuoa. ni shida
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…