Zitto Kabwe kufukuzwa CHADEMA ilikuwa ni jawabu kwa Watanzania waweze kupata chama kipya

Zitto Kabwe kufukuzwa CHADEMA ilikuwa ni jawabu kwa Watanzania waweze kupata chama kipya

Nani Mwingine anaweza kuwa Zitto akihama Chadema aunde chama na kikue

  • Halima Mdee

    Votes: 3 33.3%
  • Tundu Lissu

    Votes: 6 66.7%
  • Lema

    Votes: 0 0.0%

  • Total voters
    9
  • Poll closed .

Ndolezi Petro

New Member
Joined
Jun 26, 2024
Posts
4
Reaction score
1
Zitto baada ya kuondoka Chadema licha ya kwamba alitumia muda kujijenga chama hakujali aliamua kuanza upya na Chama Cha ACT Wazalendo.

Mwaka 2014 Mwezi Mei, 05 chama kilipata usajili wa kudumu na kazi ya ujenzi wa chama ikaanza. Safari haikuwa nyepesi ilikutana na utawala wa Magufuli ulio kataza vyama vya upinzani kufanya Mikutano na ikawa hekaheka kufanya Mikutano ya ndani .

Sera zake zenye Mvuto wa Kisiasa chama kikazidi kuungwa Mkono na Wananchi wengi na badae Hayati Maalim Seif Sharif Hamad na Viongozi wenzake wakavutiwa kujiunga na chama Cha ACT Wazalendo.

Nguvu ya chama iliongezeka na kuwa Chama Kikuu Cha upinzani Zanzibar.

Na kwa sasa ACT Wazalendo ndio chama mbadala wa Uhakika Katika kuleta mageuzi yenye sera zitakazoweza kujenga uchumi jumuishi kwa Watanzania wote.
 
Zitto baada ya kuondoka Chadema licha ya kwamba alitumia muda kujijenga chama hakujali aliamua kuanza upya na Chama Cha ACT Wazalendo.

Mwaka 2014 Mwezi Mei, 05 chama kilipata usajili wa kudumu na kazi ya ujenzi wa chama ikaanza. Safari haikuwa nyepesi ilikutana na utawala wa Magufuli ulio kataza vyama vya upinzani kufanya Mikutano na ikawa hekaheka kufanya Mikutano ya ndani .

Sera zake zenye Mvuto wa Kisiasa chama kikazidi kuungwa Mkono na Wananchi wengi na badae Hayati Maalim Seif Sharif Hamad na Viongozi wenzake wakavutiwa kujiunga na chama Cha ACT Wazalendo.

Nguvu ya chama iliongezeka na kuwa Chama Kikuu Cha upinzani Zanzibar.

Na kwa sasa ACT Wazalendo ndio chama mbadala wa Uhakika Katika kuleta mageuzi yenye sera zitakazoweza kujenga uchumi jumuishi kwa Watanzania wote.

Shida sera zake ni kama za ccm bado kinatuboa watanganyika kwasababu ya kuunga unga mkono mambo yanayowaumiza wananchi ivyo ni CCM2

Over [emoji1787]
 
Zitto baada ya kuondoka Chadema licha ya kwamba alitumia muda kujijenga chama hakujali aliamua kuanza upya na Chama Cha ACT Wazalendo.

Mwaka 2014 Mwezi Mei, 05 chama kilipata usajili wa kudumu na kazi ya ujenzi wa chama ikaanza. Safari haikuwa nyepesi ilikutana na utawala wa Magufuli ulio kataza vyama vya upinzani kufanya Mikutano na ikawa hekaheka kufanya Mikutano ya ndani .

Sera zake zenye Mvuto wa Kisiasa chama kikazidi kuungwa Mkono na Wananchi wengi na badae Hayati Maalim Seif Sharif Hamad na Viongozi wenzake wakavutiwa kujiunga na chama Cha ACT Wazalendo.

Nguvu ya chama iliongezeka na kuwa Chama Kikuu Cha upinzani Zanzibar.

Na kwa sasa ACT Wazalendo ndio chama mbadala wa Uhakika Katika kuleta mageuzi yenye sera zitakazoweza kujenga uchumi jumuishi kwa Watanzania wote.
Tatizo la ACT ni udini
 
..Zitto ameshang'atuka Act wazalendo.

..Kiongozi Mkuu wa Act anaitwa Dorothy Semu.

..Othman Masoud Makamu Mwenyekiti Zanzibar.

..Isihaka Mchinjita Makamu Mwenyekiti Tanganyika.

..Ado Shaibu Katibu Mkuu.
 
ACT Wazalendo ni chama cha upande mmoja wa nchi yaani Visiwani huku bara hakina nguvu kabisa.
 
Zitto baada ya kuondoka Chadema licha ya kwamba alitumia muda kujijenga chama hakujali aliamua kuanza upya na Chama Cha ACT Wazalendo.

Mwaka 2014 Mwezi Mei, 05 chama kilipata usajili wa kudumu na kazi ya ujenzi wa chama ikaanza. Safari haikuwa nyepesi ilikutana na utawala wa Magufuli ulio kataza vyama vya upinzani kufanya Mikutano na ikawa hekaheka kufanya Mikutano ya ndani .

Sera zake zenye Mvuto wa Kisiasa chama kikazidi kuungwa Mkono na Wananchi wengi na badae Hayati Maalim Seif Sharif Hamad na Viongozi wenzake wakavutiwa kujiunga na chama Cha ACT Wazalendo.

Nguvu ya chama iliongezeka na kuwa Chama Kikuu Cha upinzani Zanzibar.

Na kwa sasa ACT Wazalendo ndio chama mbadala wa Uhakika Katika kuleta mageuzi yenye sera zitakazoweza kujenga uchumi jumuishi kwa Watanzania wote.
Unajua jinsi Zito na Kitila walivyo tumiwa kutaka kuleta vurugu Chadema kama iliyotokea NCCR -MAGEUZI ya Mrema na ikasababisha atimuliwe.
Pili Pamoja na mbeleko ya serikali hicho Chama lini kilipata mbunge bara?
 
Siku hangover ya Maalim Seif ikiisha Zanzibar, ndipo ACT itakwisha.
 
Chadema ni mali na SACCOS ya mbowe hivyo yeye anajua nani awe kiongozi nani awe mwachama wa kawaida nani atakuwa mgombea urais
 
Zitto baada ya kuondoka Chadema licha ya kwamba alitumia muda kujijenga chama hakujali aliamua kuanza upya na Chama Cha ACT Wazalendo.

Mwaka 2014 Mwezi Mei, 05 chama kilipata usajili wa kudumu na kazi ya ujenzi wa chama ikaanza. Safari haikuwa nyepesi ilikutana na utawala wa Magufuli ulio kataza vyama vya upinzani kufanya Mikutano na ikawa hekaheka kufanya Mikutano ya ndani .

Sera zake zenye Mvuto wa Kisiasa chama kikazidi kuungwa Mkono na Wananchi wengi na badae Hayati Maalim Seif Sharif Hamad na Viongozi wenzake wakavutiwa kujiunga na chama Cha ACT Wazalendo.

Nguvu ya chama iliongezeka na kuwa Chama Kikuu Cha upinzani Zanzibar.

Na kwa sasa ACT Wazalendo ndio chama mbadala wa Uhakika Katika kuleta mageuzi yenye sera zitakazoweza kujenga uchumi jumuishi kwa Watanzania wote.
Hivi unamjua vizuri Zitto?
 
Unajua jinsi Zito na Kitila walivyo tumiwa kutaka kuleta vurugu Chadema kama iliyotokea NCCR -MAGEUZI ya Mrema na ikasababisha atimuliwe.
Pili Pamoja na mbeleko ya serikali hicho Chama lini kilipata mbunge bara?
Hujui kwamba 2015 ndo kwa mara ya kwanza kinashiriki uchaguzi na chama Cha ACT Wazalendo kilifanikiwa kushinda kitii Cha Ubunge Jimbo la Kigoma Mjini na kuweza kuongoza Manispaa ya Kigoma Ujiji. Madiwani 45 hufahahamu hili?
 
ACT bila ya kuungawa mkono na Marehemu Maalim Seif mpaka leo kingelikuwa hakina tofauti na chama cha John Cheo
 
Back
Top Bottom