JackisonDubai
JF-Expert Member
- Mar 27, 2023
- 537
- 1,282
Daah tuna upinzani njaa sana TanzaniaHuyo ni mateka,anakula kiulani
Hakuna mtu aliyekuwa anatamani kumnunua kila mtu kama huyo mtu wenu mnayemwita Mzliakende. Alikuwa anapenda sana kila goti lipigwe.Huyo ni mateka,anakula kiulaini awamu hii,ile awamu ya mzilankende alikuwa hawarambishi asali ,ndio maana kelele zilizidi
Njaa kuliko CCM hadi wanajiita chawa!!??Daah tuna upinzani njaa sana Tanzania
Kuna mwenzagu katika Imani, huyo siwezi kumgusa.Zito Kabwe mchumi aliyejipatia umaarufu Kwa kuchambua mwelekeo na udhaifu mbalimbali kwenye serikali ya CCM lakini safari hii amegeuka bubu ghafla kwani mdomo umejaa asali ambayo itampalia kama atathubutu kupanua mdomo wake.
Serikali ya Rais Samia imekumbwa na uhaba mkubwa wa hifadhi ya Dola hali iliyopelekea wafanyabiashara kuonekana wakihaha huku na huku kutafuta Dola kila wanapotaka kuagiza bidhaa kutoka nje ya nchi lakini Zito Kabwe yuko kimya kabisaa kana kwamba mambo n shwari mno.
Watu wanajiuliza Zito Kabwe amepatwa na nini?
Ni mdini sana hivi kumbeKuna mwenzagu katika Imani, huyo siwezi kumgusa.
ZITTO NI [emoji117][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90] usipoteze muda wako bureZito Kabwe mchumi aliyejipatia umaarufu Kwa kuchambua mwelekeo na udhaifu mbalimbali kwenye serikali ya CCM lakini safari hii amegeuka bubu ghafla kwani mdomo umejaa asali ambayo itampalia kama atathubutu kupanua mdomo wake.
Serikali ya Rais Samia imekumbwa na uhaba mkubwa wa hifadhi ya Dola hali iliyopelekea wafanyabiashara kuonekana wakihaha huku na huku kutafuta Dola kila wanapotaka kuagiza bidhaa kutoka nje ya nchi lakini Zito Kabwe yuko kimya kabisaa kana kwamba mambo n shwari mno.
Watu wanajiuliza Zito Kabwe amepatwa na nini?
Ni mjinga sana huyoZITTO NI [emoji117][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90] usipoteze muda wako bure
Wewe ukichambua inatosha.mbona hujawahi kujiuliza kwann babu polepole hamtukani tena lowasa??Daah tuna upinzani njaa sana Tanzania
JacksonDubai! Wewe ni pimbi kweli! Kwanini huchambui wewe hadi umtegemee huyo Zito Kabwe! Acha wehu wako pia wewe una hilo jukumu kwa kuwa umeliona! Mjinga kabisa nyangau wewe!Zito Kabwe mchumi aliyejipatia umaarufu Kwa kuchambua mwelekeo na udhaifu mbalimbali kwenye serikali ya CCM lakini safari hii amegeuka bubu ghafla kwani mdomo umejaa asali ambayo itampalia kama atathubutu kupanua mdomo wake.
Serikali ya Rais Samia imekumbwa na uhaba mkubwa wa hifadhi ya Dola hali iliyopelekea wafanyabiashara kuonekana wakihaha huku na huku kutafuta Dola kila wanapotaka kuagiza bidhaa kutoka nje ya nchi lakini Zito Kabwe yuko kimya kabisaa kana kwamba mambo n shwari mno.
Watu wanajiuliza Zito Kabwe amepatwa na nini?
Anajisifu ni mchumi mbobevuJacksonDubai! Wewe ni pimbi kweli! Kwanini huchambui wewe hadi umtegemee huyo Zito Kabwe! Acha wehu wako pia wewe una hilo jukumu kwa kuwa umeliona! Mjinga kabisa nyangau wewe!
Huyo mchumia tumbo mnafiki Zito hawezi kusema chochote kwa sasaZito Kabwe alisifika Kwa kuchambua hata Magufuli anavyotembea lakini Sasa yupo kimya
Haa unachasema ni kweli kabisa yaan ilikua hata dollar ikipanda kwa sent 10 .anakuja mbio mbio mbele ya waandish wa habari na kusema fedha yatu imeshuka thamani sanaZito Kabwe alisifika Kwa kuchambua hata Magufuli anavyotembea lakini Sasa yupo kimya
Ongeza na mchumi mchumia tumbo. Akishalamba asali be ni we mugaboZitto anasifa kuu tatu
1. Udini
2. Uongo
3. Usaliti
Hivyo usitegemee kumsikia akipiga kelele za aina yoyote kwa sasa.
Haa unachasema ni kweli kabisa yaan ilikua hata dollar ikipanda kwa sent 10 .anakuja mbio mbio mbele ya waandish wa habari na kusema fedha yatu imeshuka thamani sana