Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kidon wakipewa uhuru bila mipala tumekwisha bora tifate Ushauri wa Dr Mwigulu tuhamie nchi jirani.
wabongo awana jema kila jambo wanalalamika.Zitto akinyamaza analaumiwa kunyamaza...akiongea analaumiwa kuongea....
Ngoja misukule ije kumtukana hapa
Imagine mtu Kama Sabaya ambaye kabla ya kuwa DCs aliwahi kusikika kuwa ni memba wa maafisa vipepeo.Zitto akinyamaza analaumiwa kunyamaza...akiongea analaumiwa kuongea....
Ngoja misukule ije kumtukana hapa
Utalalamika siku yakikukuta. Shida ya Watz wale mlioko kwenye confort zone hiwa hamfikirii kuwa kuna siku yatawagusa.wabongo awana jema kila jambo wanalalamika.
unaoana sasa unavyolalamika mkuu.Utalalamika siku yakikukuta. Shida ya Watz wale mlioko kwenye confort zone hiwa hamfikirii kuwa kuna siku yatawagusa.
Muulizeni Lowasa na Sumaye et al.
Mkuu sasa wananchi tusilalamike? Sisi wananchi wanyonge hatuna zaidi ya kulalamilia viongozi wetu na wala sio kosa.unaoana sasa unavyolalamika mkuu.
unatoka kwenyd mada chif.Mkuu sasa wananchi tusilalamike? Sisi wananchi wanyonge hatuna zaidi ya kulalamilia viongozi wetu na wala sio kosa.
Mada ngumu hiiunatoka kwenyd mada chif.
Ninasikitika sana kuona kwamba Watanzania wamelichukulia jambo hili kirahisi sana, wakidhani kwamba ni Jambo la mchezo mchezo tu. Tambueni ya kwamba, Sheria hii inahusu suala la kuua watu au kuua raia hasa Watanzania ambao TISS inaona kwamba ni kikwazo kwao. Watanzania tambueni kwamba Kinga inayozungumzwa hapa inahusika na wewe binadsi (mtu mmoja mmoja ) uuliwe na Kisha mtu aliyekuua asibughuziwe au kusumbuliwa kwa namna yoyote ile, na ikiwezekana huyo mtu aliyekuua apewe sifa(apongezwe) kwa kufanikishahiyo kazi ya kukuua. Na ikiwezekana alipwe pesa nyingi zaidi, apewe cheo kikubwa zaidi (kama ilivyofanyika kwa yule aliyemteka na kumng'oa meno Dr. Ulimboka) ambaye sasa hivi yupo kule Mjengoni Dodoma. Je, Watanzania mmeshajiandaa kwa hayo?? Mmeshajiandaa vya kutosha kushuhudia tena kuviona viroba vingi vyenye maiti za watu baharini, mitoni, kando ya barabara, ufukweni, nk.?Je, mmeshajiandaa kwa matukio mabaya kama haya kujirudia tena kwa kasi ya kutisha????????
Misukule daima inaangalia imani na si kingineZitto akinyamaza analaumiwa kunyamaza...akiongea analaumiwa kuongea....
Ngoja misukule ije kumtukana hapa