Tangu kuanza kwa vuguvugu la kudai katiba mpya mapema mwaka huu likiongozwa na Chadema, Zitto Kabwe na chama chake cha ACT Wazalendo wamekuwa kimya pasipo kutia neno lolote.
Hivi karibuni Zitto amesikika akishauri mchakato huu lazima uongozwe na wananchi wenyewe si wanasiasa, kwa upande mwingine mwanaharakati wa mitandaoni anayejulikana kama Kigogo wa Twitter aliyekuwa bega kwa bega na Chadema hivi karibuni amewageuka Chadema na kusema ‘Wanajipanga kuanzisha movement isiyohusisha wanasiasa’.
Wiki iliyopita tumemsikia ndugu Yahaya Omary Mpanda aliyekuwa mgombea ubunge Jimbo la Temeke 2020 kwa tiketi ya ACT-Wazalendo akitoa tangazo la kuanzisha Movement ya Wananchi na Katiba kifupi WAKA inayotarajiwa kuzinduliwa rasmi mwezi huu.
Kwa matukio haya pamoja na malumbano yanayoendelea mitandaoni kati ya Kigogo na wafuasi wa Chadema, binafsi naweza kujiridhisha kabisa inawezekana WAKA imeanzishwa kwa ushirikiano wa Zitto na KIGOGO wa Twitter ku undermine movement ya CHADEMA ya kudai katiba mpya.
Ready to be corrected.
Hivi karibuni Zitto amesikika akishauri mchakato huu lazima uongozwe na wananchi wenyewe si wanasiasa, kwa upande mwingine mwanaharakati wa mitandaoni anayejulikana kama Kigogo wa Twitter aliyekuwa bega kwa bega na Chadema hivi karibuni amewageuka Chadema na kusema ‘Wanajipanga kuanzisha movement isiyohusisha wanasiasa’.
Wiki iliyopita tumemsikia ndugu Yahaya Omary Mpanda aliyekuwa mgombea ubunge Jimbo la Temeke 2020 kwa tiketi ya ACT-Wazalendo akitoa tangazo la kuanzisha Movement ya Wananchi na Katiba kifupi WAKA inayotarajiwa kuzinduliwa rasmi mwezi huu.
Kwa matukio haya pamoja na malumbano yanayoendelea mitandaoni kati ya Kigogo na wafuasi wa Chadema, binafsi naweza kujiridhisha kabisa inawezekana WAKA imeanzishwa kwa ushirikiano wa Zitto na KIGOGO wa Twitter ku undermine movement ya CHADEMA ya kudai katiba mpya.
Ready to be corrected.