“Tangu asubuhi nimeamka taswira ya maalimu Seif inanijia na natamani leo angekuwepo hapa katika uzinduzi huu na naamini huko aliko anatabasamu na mwenyezimungu aendeleee kumuweka mahala pema peponi” -
@zittokabwe
, Kiongozi wa Chama ACT Wazalendo
View attachment 2402228