Zitto Kabwe: Natamani Maalim Seif angekuwepo

Shadow7

JF-Expert Member
Joined
Sep 28, 2020
Posts
24,606
Reaction score
39,289
“Tangu asubuhi nimeamka taswira ya maalimu Seif inanijia na natamani leo angekuwepo hapa katika uzinduzi huu na naamini huko aliko anatabasamu na mwenyezimungu aendeleee kumuweka mahala pema peponi” -
@zittokabwe
, Kiongozi wa Chama ACT Wazalendo

 
Kuzimu na kutabasamu wapi na wapi

USSR
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…