Zitto Kabwe ni defacto Kiongozi Mkuu wa ACT Wazalendo

Zitto Kabwe ni defacto Kiongozi Mkuu wa ACT Wazalendo

Retired

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
44,629
Reaction score
83,056
Naona sauti yake huku bara ni kubwa kuliko aliyechaguliwa kama kiongozi mkuu

1724764047699.png


1724764237651.jpeg
 
ACT in Zitto na Zitto ni ACT
 
ACT Wazalendo kwa sasa kila Kitu kinafanyikia Zanzibar chini ya Uongozi wa OMO
 
Nilicheka wakati Zito anahamia ACT alikuwa anajifanya kahamia ili kuua soo zile tuhuma zilizosemekana alianzisha chama akiwa cdm. Baadaye akaanza kujisahau na kusema yeye na wenzake walijitoa muhanga kuanzisha hiyo ACT!
 
Mods, rekebisha kwentye heading ni de facto, tengenisha...typo err
 
Da mahaba ya chama,aongee chadema habari ya utekaji na watu kupotea,harafu inaonekana sauti ya ZZK.
 
Back
Top Bottom